Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Takwimu sahihi za Jamii Forum ambazo hata mchambuzi /mwandishi mahiri Mbwambo (katika makala yake kwenye gazeti la Raia Mwema) amezitumia kuwa safari za JK nje ya nchi zimefikia 317..
Ukifanya mahesabu ya wastani wa siku 2 kila safari moja utapata siku 634 ambazo ni takribani miaka miwili.Ukifanya wastani wa Tsh 200,000,000 Tsh kama gharama kwa kila safari utapata 124,800,000,000/- .Tsh
Mungu Ibariki Tanzania
Ukifanya mahesabu ya wastani wa siku 2 kila safari moja utapata siku 634 ambazo ni takribani miaka miwili.Ukifanya wastani wa Tsh 200,000,000 Tsh kama gharama kwa kila safari utapata 124,800,000,000/- .Tsh
Mungu Ibariki Tanzania