Kumbe wakati matokeo yalipoanza kutangazwa na kuonekana jk anatupwa mbali, mkuu alizirai na kwa mara ya kwanza madaktari wake wakagundua analo pia tatizo la presha na kkisukari, ndo maana nec wakabadli mwelekeo wakachelewesha kutoa matokeo ya maeneo ya chadema na kuanza kule alikokuwa anaongoza.
Mpaka a day before final results alikuwa anaonoza kwa 82%, kwa kuwa majimbo ya chadema hasa dsm, arsha mbeya hawakuwa wametangaza kumpooza mkuu wao.
Onyo: Jk jiandae kwa mshangazo mkubwa siku za usoni, vijana waliofisha umri wa kupiga kura 2010 hawadanayiki. Huko songea wameasi wazee wao na wanajilaumu kwa kupoteza jimbo la songea mjini
Mpaka a day before final results alikuwa anaonoza kwa 82%, kwa kuwa majimbo ya chadema hasa dsm, arsha mbeya hawakuwa wametangaza kumpooza mkuu wao.
Onyo: Jk jiandae kwa mshangazo mkubwa siku za usoni, vijana waliofisha umri wa kupiga kura 2010 hawadanayiki. Huko songea wameasi wazee wao na wanajilaumu kwa kupoteza jimbo la songea mjini