Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wote tunakumbuka kuwa kipindi cha kampeni JK na ccm waliiwaahidi waislamu mahakama ya kadhi..sasa hivi hata kabla mwaka haujaisha kawageuka ..sasa hii tuiite ni kitu gani? .ina maana hata zile ahadi zlizozitoa kipindi cha uchaguzi hatazitekeleza
huyu mwanasiasa si ni kigeu geu?
huyu mwanasiasa si ni kigeu geu?