mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
Tangu rais kikwete aingie madarakani viongozi mbalimbali serikalini wamekumbwa na tuhuma mbalimbali hadi kufikia wananchi kutaka viongozi hao wafukuzwe madarakani na rais, lakini hakuna linalofanyika! Tunakumbuka ishu za kina edward hosea, mwanyika, ji mpondana wengineo ambao walikumbwa na kashfa lakini rais akashindwa kuwaondoa madarakani. Je ataweza kumuondoa madarakani waziri wake wa sasa mwenye tuhuma dk hadji mponda? Wakati uko nyuma alishindwa kuwaondoa watendaji wengine wabovu. Yetu macho.