Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?
Nadhani umebanwa na haja kubwa,kajisaidie kwanza ndo urudi kutoa hoja na usisahau kuchamba kama ilivyo kawaida yako, usije ukachafua hali ya hewa humu ndani!