JK alihamisha watoto wake St. Patric school Arusha baada ya uchaguzi 2010

MVUMBUZI

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
5,183
2,304
Hofu ya JK kutokana na kipigo alichopata kwenye uchaguzi mkuu 2010 imemfanya ahamishe watoto wake wawili waliokuwa wanasoma shule maarufu ya St Patric hapa Arusha. Watoto hao sasa wamepelekwa kusoma nchini Malawi. JK kama mzazi alikuwa na mazoea ya kuja St. Patric mara kwa mara kuhudhuria sherehe mbalimbali mfano graduation. Ktk shule hii pia wanasoma watoto wa vigogo wengine wa serikali ya TZ wakiwemo watoto wa mafisadi. JK alisema eti Arusha ni mji wa vurugu hivyo usalama wa hao watoto wake utakuwa hatarini kama wataendelea kusoma hapo hasa baada ya Jimbo la Arusha mjini kutwaliwa na Mh. Godbless Lema. Huu ni uoga wa kijinga au tu ni mwendelezo wa maamuzi ya kukurupuka ya Mheshimiwa? Ukiona rais anaogopa sehemu fulani ya nchi yake ujue anataka kuchangia uasi ndani ya nchi yake kwani akili zake zinamwonyesha upinzani ni uadui. Na kwamba kuwa mpinzani basi wewe si raia wa TZ
 
Ni kweli hadi mikutano ya East African Community anaipeleka Dar...

Hajui in about 4 yrs atakuwa raia? hawezi kukimbilia Arabuni...
 
Bora amewaondoa na ni bora pia hatukuwastukia mapema,awahamishe kabisa hatutaki hata kumuona yeye mwenyewe
 
Hofu ya JK kutokana na kipigo alichopata kwenye uchaguzi mkuu 2010 imemfanya ahamishe watoto wake wawili waliokuwa wanasoma shule maarufu ya St Patric hapa Arusha. Watoto hao sasa wamepelekwa kusoma nchini Malawi. JK kama mzazi alikuwa na mazoea ya kuja St. Patric mara kwa mara kuhudhuria sherehe mbalimbali mfano graduation. Ktk shule hii pia wanasoma watoto wa vigogo wengine wa serikali ya TZ wakiwemo watoto wa mafisadi. JK alisema eti Arusha ni mji wa vurugu hivyo usalama wa hao watoto wake utakuwa hatarini kama wataendelea kusoma hapo hasa baada ya Jimbo la Arusha mjini kutwaliwa na Mh. Godbless Lema. Huu ni uoga wa kijinga au tu ni mwendelezo wa maamuzi ya kukurupuka ya Mheshimiwa? Ukiona rais anaogopa sehemu fulani ya nchi yake ujue anataka kuchangia uasi ndani ya nchi yake kwani akili zake zinamwonyesha upinzani ni uadui. Na kwamba kuwa mpinzani basi wewe si raia wa TZ
Hang on !!!!!!!!! Rais yeyote ambaye sio fisadi watoto wake husoma ndani ya nchi tena shule za serikali huyu JE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Basi na yale mahoteli waliyojenga Arusha wayabomoe au wayachukue watuachie mji wetu
 
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?
 
miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.kiukwel mwisho wa cdm umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na meru,christ n islam, na tarime na dar, au mnaonaje?
you are almost out of topic....
 
Kaaya , mneki na mkuu wa Aicc ndiye alikuwa houseboy wa hao madogo.
 
Mbumbumbu tu huyu hana japo tone la hekima na busara!
Mbona Nyerere wakati wa vita ya kagera hakuwaficha nje wanae? Tena wengine alikubali waende front line kwenye vita!
 
Here we go!! wambeya naona mko kazini tena!! mko kwenye pay roll,, komaeni mazee, mtakula wapi? ulaji na mtaji ndo huu JK. Mmeishiwa kwelikweli chundu nyie
 
Hofu ya JK kutokana na kipigo alichopata kwenye uchaguzi mkuu 2010 imemfanya ahamishe watoto wake wawili waliokuwa wanasoma shule maarufu ya St Patric hapa Arusha. Watoto hao sasa wamepelekwa kusoma nchini Malawi. JK kama mzazi alikuwa na mazoea ya kuja St. Patric mara kwa mara kuhudhuria sherehe mbalimbali mfano graduation. Ktk shule hii pia wanasoma watoto wa vigogo wengine wa serikali ya TZ wakiwemo watoto wa mafisadi. JK alisema eti Arusha ni mji wa vurugu hivyo usalama wa kwani huko kwake shule ya kata hakuna hadi waende malawi?
 
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?

Magamba crap!!!!!upo hapa au upo mahali unatupia kitu cha safari lager na network zinaonekana kuanza kukatika katika Kama umeme wa Tanesco?
 
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?
umeonyesha upumbavu wako hadharani kabisaaaa!!
 
<p>
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?
</p>
<p>&nbsp;</p> ushoga tu weye bundi
 
Mkikosa cha kuandika huwa mnakurupuka ili mradi tu muonekane mmeandika? mnanini nyinyi?
 
Hofu ya JK kutokana na kipigo alichopata kwenye uchaguzi mkuu 2010 imemfanya ahamishe watoto wake wawili waliokuwa wanasoma shule maarufu ya St Patric hapa Arusha. Watoto hao sasa wamepelekwa kusoma nchini Malawi. JK kama mzazi alikuwa na mazoea ya kuja St. Patric mara kwa mara kuhudhuria sherehe mbalimbali mfano graduation. Ktk shule hii pia wanasoma watoto wa vigogo wengine wa serikali ya TZ wakiwemo watoto wa mafisadi. JK alisema eti Arusha ni mji wa vurugu hivyo usalama wa hao watoto wake utakuwa hatarini kama wataendelea kusoma hapo hasa baada ya Jimbo la Arusha mjini kutwaliwa na Mh. Godbless Lema. Huu ni uoga wa kijinga au tu ni mwendelezo wa maamuzi ya kukurupuka ya Mheshimiwa? Ukiona rais anaogopa sehemu fulani ya nchi yake ujue anataka kuchangia uasi ndani ya nchi yake kwani akili zake zinamwonyesha upinzani ni uadui. Na kwamba kuwa mpinzani basi wewe si raia wa TZ
Acha uzushi hata aibu hauna. Taja majina ya watoto hao wa JK waliokuwa wanasoma AR. Ukikosa shibe usiwe unaota na kutoa maneno mbofu mbofu
 
Mimi mwenyewe nimewaamisha watoto wangu wawili walikuwa wanasoma Arusha, nimeona maendeleo yao sio mazuri kila siku fujo tu watoto wanashindwa kusoma vizuri wasije wakawapiga visu na maandamano yao
 
Mimi mwenyewe nimewaamisha watoto wangu wawili walikuwa wanasoma Arusha, nimeona maendeleo yao sio mazuri kila siku fujo tu watoto wanashindwa kusoma vizuri wasije wakawapiga visu na maandamano yao
bwahahahahahahahahahaha:)): wapashe walugaluga hao
 
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na Tarime na Dar, au mnaonaje?

Magamba memekuwa active kama viwavi jeshi.Ndivyo babu yenu msekwa amewapa vi min lap na vimodem ndo mnaongea kama kasuku.Ok pambavuuu!
 
Hofu ya JK kutokana na kipigo alichopata kwenye uchaguzi mkuu 2010 imemfanya ahamishe watoto wake wawili waliokuwa wanasoma shule maarufu ya St Patric hapa Arusha. Watoto hao sasa wamepelekwa kusoma nchini Malawi. JK kama mzazi alikuwa na mazoea ya kuja St. Patric mara kwa mara kuhudhuria sherehe mbalimbali mfano graduation. Ktk shule hii pia wanasoma watoto wa vigogo wengine wa serikali ya TZ wakiwemo watoto wa mafisadi. JK alisema eti Arusha ni mji wa vurugu hivyo usalama wa hao watoto wake utakuwa hatarini kama wataendelea kusoma hapo hasa baada ya Jimbo la Arusha mjini kutwaliwa na Mh. Godbless Lema. Huu ni uoga wa kijinga au tu ni mwendelezo wa maamuzi ya kukurupuka ya Mheshimiwa? Ukiona rais anaogopa sehemu fulani ya nchi yake ujue anataka kuchangia uasi ndani ya nchi yake kwani akili zake zinamwonyesha upinzani ni uadui. Na kwamba kuwa mpinzani basi wewe si raia wa TZ

Sasa nakumbuka Mwanzoni mwa mwaka mpya alifunga safari ya ghafla kwenda Malawi, ilikuwa safari ya siku moja na haikuelezwa kama ni ya kiserikali au la, kumbe ndio alikuwa anawapeleka watoto wake shuleni. Nakumbuka picha moja akiwa ikiwa Ikulu ya Mawazi kiongozi mmoja mwanamama mwandamizi alipiga magoti kumsalimi kilivyo utamaduni wa kiafrika.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom