teheeee teeeheeee!!! mie napita tu ..ntarudi baadayeBangi mbaya,vijana mnapotezwa na wakina Lema.
teheeee teeeheeee!!! mie napita tu ..ntarudi baadayeBangi mbaya,vijana mnapotezwa na wakina Lema.
Jaribu kuangalia ziara za rais au makamu wake, utaona zile rangi za satini, njano na kijani, kwenye ziara za serikali, kwahyo ni kawaida kiongozi.Ni aibu ya kutoweza kuelewa baina ya mambo ya kitaifa na mambo ya kichama
Hata pale mnapoenda kufungua barabara ambazo ni kodi za wananchi huwa mnavaa nguo zenu za kijani na njano ila watu huwa hatusemi.
Bebe ngosha,Nkwingwa sijakuelewa hapo.
Ina maana unachosema ni sawa kwa CCM kuvaa magwanda yao kwenye shughuli za kitaifa kwa sababu wao ndiyo wanaunda serikali na si sawa kwa wafuasi wa CHADEMA kupeperusha vijibendera vyao na kuvaa magwanda yao mbele ya rais?
Pia unaona ni sawa kwa CCM kuendesha vikao vyake Ikulu?
Gaijin,
aibu ipi,kwani chama Tawala Arusha ni kipi.
Mbona huwa usemi aibu pale sare za CCM zinapovaliwa kwenye sherehe za kitaifa.
Hakuna cha ajabu kwa wanaCHADEMA kuvaa nguo au kubeba bendera za CHADEMA kwenye mkutano wa Rais. Hii ni haki yao ya msingi kabisa katika katiba.
Ningependa tena kama wapenzi/wanachama wa vyama vyote vya siasa wawe wanakutana katika mikutano kama hiyo na kukaa pamoja na mibendera yao ili kuondoa ujinga uliojengeka katika vichwa vya wajinga wachache kuwa kutofautiana kiitikadi ni uadui.
Kosa na kukosa ustaarabu ni pale wanapoanza kuzomea badala ya kusikiliza.
Gaijin,
aibu ipi,kwani chama Tawala Arusha ni kipi.
Mbona huwa usemi aibu pale sare za CCM zinapovaliwa kwenye sherehe za kitaifa.
Hakuna cha ajabu kwa wanaCHADEMA kuvaa nguo au kubeba bendera za CHADEMA kwenye mkutano wa Rais. Hii ni haki yao ya msingi kabisa katika katiba.
Ningependa tena kama wapenzi/wanachama wa vyama vyote vya siasa wawe wanakutana katika mikutano kama hiyo na kukaa pamoja na mibendera yao ili kuondoa ujinga uliojengeka katika vichwa vya wajinga wachache kuwa kutofautiana kiitikadi ni uadui.
Kosa na kukosa ustaarabu ni pale wanapoanza kuzomea badala ya kusikiliza.
Bebe ngosha,
Hapana nilikuwa najibu hii ya statement ya Josephine inayosema CHADEMA ni chama tawala Arusha na bandiko lake ni hili hapa,
Ushamba unasumbua tu, mbona haya mambo JK kaishayazoea!.Kama hamsemi kuwakanya CCM ilhali mnajua kwamba si jambo sahihi haina maana kuwa hugeuka kuwa sahihi CHADEMA ikilifanya
Mama,
Sikutegemea kama upeo wako wa uelewa wa mambo ya siasa ya Tanzania uko kidogo kwa kiasi hiki!!
Tumejiaminisha kuwa sisi ni watanzania na wanachadema na tunaishi eneo lilipotokea tukia na ndio maisha yetu ya kila siku,nilikupa mfano tu ili uone kuwa ulichokisema nawe huwa unakifanya hivyo usipige kelele.Ukiishi nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa maweKama hamsemi kuwakanya CCM ilhali mnajua kwamba si jambo sahihi haina maana kuwa hugeuka kuwa sahihi CHADEMA ikilifanya
Hakuna cha ajabu kwa wanaCHADEMA kuvaa nguo au kubeba bendera za CHADEMA kwenye mkutano wa Rais. Hii ni haki yao ya msingi kabisa katika katiba.
Ningependa tena kama wapenzi/wanachama wa vyama vyote vya siasa wawe wanakutana katika mikutano kama hiyo na kukaa pamoja na mibendera yao ili kuondoa ujinga uliojengeka katika vichwa vya wajinga wachache kuwa kutofautiana kiitikadi ni uadui.
Kosa na kukosa ustaarabu ni pale wanapoanza kuzomea badala ya kusikiliza.
Ushamba unasumbua tu, mbona haya mambo JK kaishayazoea!.
Kule Kimara alipokelewa na bendera za CDM, CCM na CUF wala hapakuwepo na shida.
Ispokuwa MaCCM walipotaka kumtoa madiwani wa CDM jukwaani ndiyo ikaonekana wanataka kuifanya shughuli ya chama (CCM) badala ya serikali.
Mkuu, nitamchukiaje mtu ambaye hata simfahamu zaidi ya kusoma komenti zake . kwa komenti zake za nyuma sikutegemea kama atakuwa anafikiria kitu kama hiki kisiasa katika Tanzania.Hata kama una chuki za kiasi gani, hapo kwenye nyekundu umejidhalilisha; mimi binafsi nimekufuta kwenye orodha yangu ya watu niliokuwa nadhani wana hoja. HOJA ZA CHUKI KWANGU NO. Nakushauri grow up stairs by choosing the right word to address the one you hate.
Tumejiaminisha kuwa sisi ni watanzania na wanachadema na tunaishi eneo lilipotokea tukia na ndio maisha yetu ya kila siku,nilikupa mfano tu ili uone kuwa ulichokisema nawe huwa unakifanya hivyo usipige kelele.Ukiishi nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa mawe