Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Jana usiku sana hapa ugenini nilipata kuona kwenye news za tano Tanzania ITV. Ndipo nikamuona balozi wa Vatican Askofu mkuu sijui nani katinga Ikulu na salaam za Papa lakini pia alikuwa ana aga anaelekea Japan ambako ndiyo kituo chake kimya. Katika maongezi yale JK alimwambia amkumbushe Papa juu ya Mwaliko wa kuja Tanzania .
Wakaonyesha na mapicha JK na mama Salma wakiwa Vatican. I hope mwaliko huu hautapingwa na wenzetu ila nimeshangaa kwa Balozi yule kusema Tanzania imejaa amani wakati anayaona ya Igunga nk.
Wakaonyesha na mapicha JK na mama Salma wakiwa Vatican. I hope mwaliko huu hautapingwa na wenzetu ila nimeshangaa kwa Balozi yule kusema Tanzania imejaa amani wakati anayaona ya Igunga nk.