Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Akihutubia katika kilele cha sherehe za miaka 36 tangu kuzaliwa kwa CCM, amewaasa wana-CCM kuendeleza mradi wa kuimarisha chama bila kutegemea ruzuku za wabunge kwa kuwa idadi ya wabunge wa CCM wataendelea kupungua kutokana na kuimarika kwa vyama vya upinzani!
Bila shaka JK ameanza kuona ukweli kuwa CCM iko ukingoni!
Hivyo naviomba vyama vya upinzani kukaza buti!
Bila shaka JK ameanza kuona ukweli kuwa CCM iko ukingoni!
Hivyo naviomba vyama vya upinzani kukaza buti!