nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
kwa hiyo wafanyeje? wajenge viwanda?Alisema kuwa tatizo la ajira hapa nchini ni ndoto kwa sababu ya kukosekana kwa viwanda vya kutosha.
Hii ya Wazee kuwapisha Vijana Haraka Haraka italisababishia Serikali ya CCM matatizo makubwa haswa; Ukiangalia Utendaji ya wajumbe wa CC Vijana na ni Wasomi ni hatari kama Vile Mchemba na Nape ni kama Vile hawajaenda Shule hawana Mwamko hawana Hekima, Muda wao Wote ni Ugomvi yoyote aliye upinzani ni Adui wao.
huyu mtu huwa siku zote haelewi..hata hayo aliyoyasema hayana ukweli.. uteuzi wake daima umekuwa ukiegemea ushikaji, undugu, urafiki n.k hana jipya kwa hilo labda awadanganye hao hao ma DC wake sioux wananchi, coz tunamjua vilivyo..swala la ajira ni kushindwa kwa serikali yake kusimamia sera za ubinafsishaji na uwekezaji hivyo kuuwa viwanda, na kuruhusu wageni kwa wingi kuja kufanya kazi nchini hivyo kuwajinya wazawa fursa ya kuajiriwa
Sidhani kama Mwandosya ni mzee kiasi cha kuwekwa kwenye kundi la kuwapisha vijana. Kuhusu ugonjwa, huo utakuwa ni unyanyapaaji, haifurahishi hata kutamka kuwa aachwe kwa sababu ya ugonjwa wake.JK, preach what you do. Juzi tu hapa umetoka kumwapisha Mwandosya, umri umekwenda,anaumwa, leo unawaambia wazee waachie ngazi! Kwani Mwandosya asingeweza kuwa mshauri bila uwaziri?
Nngu007,
Mzee Kawawa aliwahi kusema ukifanya jambo Adui yako akakusifia ujue umekosea, lakini ukifanya adui yako akalalamika ujue uko sahihi! Toka Nape awe katibu mwenezi amekuwa akitukanwa kila aina ya matusi, kisa amekuwa mwiba kwa upinzani nchini!! Mbona kabla ya hapo alionekana shujaa?!!!! Mkimsifu kwa kila sifa, sasa anatukanwa mpaka matusi ya nguoni.... Siasa hizi za hovyo, siasa za kuamini ili mradi hakuungi mkono ni mshenzi hana maana, akigeuka leo kukuunga mkono anakuwa shujaa ghafla.... Huu ni upuuzi.
Toa mfano , wapi ameonesha undugu katika uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na Mikoa. Ni vema tukanyamaza kama hatuna uhakika na tunayoayasema badala ya kulifanya jukwaa hili kuwa la majungu. Tuchangie mada iliyopo badala ya kuingiza hisia binafsi ,jambo amabalo linawakatisha tamaa wengine wenye nia njema ya kuchangia.
Sidhani kama Mwandosya ni mzee kiasi cha kuwekwa kwenye kundi la kuwapisha vijana. Kuhusu ugonjwa, huo utakuwa ni unyanyapaaji, haifurahishi hata kutamka kuwa aachwe kwa sababu ya ugonjwa wake.
JK Gangwe, amejaza wazee kibao katika serikali yake na bado anawataka wawapishe vijana. Manake kama ni komedy wala haichekeshi.Alisema kuwa ni wakati muafaka kwa wazee kuwapisha vijana, watumie nguvu na elimu yao, na wao wabaki pembeni wakiwa washauri katika mambo mbalimbali, badala ya kung'ang'ania madaraka hata katika umri huo mkubwa.
kwa hiyo wafanyeje? wajenge viwanda?