JK akirekebisha Tai ya Lowasa.

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,385
Picha inaongea kila kitu ImageUploadedByJamiiForums1387132484.822144.jpg
 
Mazungumzo:
EDO:"Karibu sana muheshimiwa!"
JK: "Asante....bwana mdogo unaniabisha, unataka kwenda Ikulu hata kufunga tai kunakushida?..tehe tehe teh"
EDO: "the teh teh...dogo acha hizo wewe, kwanza hiyo suti yako ndio ile zawadi kutoka kwa yule mwarabu?"
JK: "Aaaa..yale mjungu tu ya wamerekani"
EDO: "Poa mkuu, yule mama wa nini tena? Hawezi kuniwekea kauzibe yule?"
JK: "Usiwe na shaka, ile danganya toto tu....tulivyokubaliana ndivyo itakavyokuwa"
 
ha ha wanafiki wamekutana kweli ccm chama chakavu lowasa kushinda uraisi ni ndoto za kichaa kujenga ghorofa angani
 
Back
Top Bottom