Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hawakukutana barabarani
EDO:"Karibu sana muheshimiwa!"
JK: "Asante....bwana mdogo unaniabisha, unataka kwenda Ikulu hata kufunga tai kunakushida?..tehe tehe teh"
EDO: "the teh teh...dogo acha hizo wewe, kwanza hiyo suti yako ndio ile zawadi kutoka kwa yule mwarabu?"
JK: "Aaaa..yale mjungu tu ya wamerekani"
EDO: "Poa mkuu, yule mama wa nini tena? Hawezi kuniwekea kauzibe yule?"
JK: "Usiwe na shaka, ile danganya toto tu....tulivyokubaliana ndivyo itakavyokuwa"
Hawakukutana barabarani
Jk na lowasa hawakukutana barabarani ni chanda na pete...lowasa ndiye rais ajaye 2015 migro pm..membe kashatupwa kapuni
Picha inaongea kila kituView attachment 126937