mweee kweli kazi ipo..yaaani rais kavumilia weeee mpaka kaamua kutafuta kakinyago ili mradi apeane mkono na kaka!!!! haya na huyu Ridhwan kafuata nini sasa hapa?mhh kazi ipo kwa kweli
hahaha, sasa kama yeye anapenda boli, si mwacheni afurahie jamani, kwanini afiche hisia zake? mimi naona safi tu kwa rais kupenda mpira kiasi hiki...na huyo Ridhiwani..anafanana mno na dingi yake,kasoro ufupi sijui kachukua kwa mamake?
This is now a bit too much.
If at all it was very necessary for the Brazilian football player(s) to be given (a) carving(s) then that is a job that could have been done by the minister with the appropriate portfolio!!
Why does he have to stoop so low?
I won't be surprised to hear that the presidents family and the rest of his (unofficial) entourage were given free/complimentary tickets but TFF did not deem it a matter of importance to grant the same opportunity to the less fortunate mwananchi - what with the stadium being only half full (empty?)
I am waiting for one last excuse to hand in my green passport
JK anayo nafasi ya kumshika mkono Kaka, yule dogo Kombo kawa mbunifu kwa kuingia uwanjani kafanikisha azma yake lakini bado ananyea ndoo central, Kova muachie huyo jamaa aendelee na shule hizo ni hisia kama anazoonyesha JK na Riz hapa.Utasikia JK kashuka bondeni sasa hivi nyi ngojeni tu.
"KILIMO KWANZA" hii shughuli hatuwezi, siye shughuli kwanza kama hii ya Brazil, Maarusi, kutoa wanawali, mikesha ya maombi nk. nafikiri bora tungesema "UTALII KWANZA" tukishirikiana na dada zetu ungetulipa fasta!
Moja ya mafanikio ya awamu hii ni kumfanya Kaka akanyage ardhi ya Bongo. Angalia mwenyewe,dogo kazidiwa na hisia kaingia uwanjani na mkuu wetu kajisikia katoa kinyago. Bongo tambalale.
Sasa naanza kuelewa kwa nini hata jirani zetu wanahoji uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu! Rais kufuata mcheza soka dressing room kumkabithi kinyago! kweli? kweli? hata kama mchezaji ni maarufu kiasi gani!
Ni kweli Ubungox2
Bora tumeiona Brazil kwa hizo Bil 3 hata kama zingekuwa Bil 7 pouwa tu kwani mafisadi wanakula ngapi bana na tumekaa kimya tu na tunawapigia kura tena. Ileteni na Arsenal kama inawezekana
Kwa kweli hii inaonyesha Yule kijana aliokwenda kumkumbatia kaka uwanjani hakufanya makosa bora wamwuachie tu mpaka leo yuko ndani au Polisi wamkasilika alianza yeye kumshika kabla ya Wakubwa? Kaka mwenyewe alimkumbatia kwa furaha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.