JK akikosa safari ya Ethiopia nifungieni mwezi mzima!!!

Status
Not open for further replies.
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!

Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!

Nadhani na mwenyekiti wa AU, Bony Yayi wa Benin na Kagame wa Rwanda walikuwepo kwenye mkutano wa G8, ingiwa nchi mipango yao ya mapinduzi ya kilimo haikuvutia kama ya hizo nchi tatu zilizotajwa.
 
Mkuu JokaKuu utapona kweli kufungiwa?
Kimbunga,

..nasikia kuna mkutano wa NAM utafanyika Iran.

..sasa inawezekana JK akaenda kwenye mkutano na ku-miss haya mazishi.

..pamoja na hayo utabiri wangu kwamba JK atahudhuria msiba wa Zenewi unakuwa supported na data za miaka 7 ya utawala kuhusu safari za JK na mahudhurio yake ktk mazishi ya viongozi mbalimbali.
 
Last edited by a moderator:
Kimbunga,

..nasikia kuna mkutano wa NAM utafanyika Iran.

..sasa inawezekana JK akaenda kwenye mkutano na ku-miss haya mazishi.

..pamoja na hayo utabiri wangu kwamba JK atahudhuria msiba wa Zenewi unakuwa supported na data za miaka 7 ya utawala kuhusu safari za JK na mahudhurio yake ktk mazishi ya viongozi mbalimbali.
Kwa hiyo mkuu asipohudhuria itabidi ufungiwe au?
 
Last edited by a moderator:
Namsubiria niona na Sumit ya Tehran kama Atahudhuria USA itupige full Misaada BAN.
 
Kimbunga,

..nasikia kuna mkutano wa NAM utafanyika Iran.

..sasa inawezekana JK akaenda kwenye mkutano na ku-miss haya mazishi.

..pamoja na hayo utabiri wangu kwamba JK atahudhuria msiba wa Zenewi unakuwa supported na data za miaka 7 ya utawala kuhusu safari za JK na mahudhurio yake ktk mazishi ya viongozi mbalimbali.

Issue hapa ilikuwa ni kuhudhuria mazishi ya Zenawi....hizo takwimu za miaka saba ziliyopita ni topic tofauti. Kuwa muungwana mkuu nyoosha mikono yako admin waitandike pingu, hiyo ndiyo njia pekee ya kuonyesha uuungwana wako ninaamini ukitoka kifungoni heshima yako itakuwa kubwa, na wewe utaachana na kazi ya utabiri.
Piga moyo konde na uikabili hukumu yako kiungwana.
 
Issue hapa ilikuwa ni kuhudhuria mazishi ya Zenawi....hizo takwimu za miaka saba ziliyopita ni topic tofauti. Kuwa muungwana mkuu nyoosha mikono yako admin waitandike pingu, hiyo ndiyo njia pekee ya kuonyesha uuungwana wako ninaamini ukitoka kifungoni heshima yako itakuwa kubwa, na wewe utaachana na kazi ya utabiri.
Piga moyo konde na uikabili hukumu yako kiungwana.
Consigliere Kimbunga,

..YES, asipohudhuria msiba wa Zenawi itabidi moderator wanifungie.

..unajua kuna jamaa tulipanda naye dau kuhusu JK kuhudhuria msiba wa raisi wa Ghana.

..tumewekeana dau tena, this time kubwa zaidi, lakini naona huu mkutano wa NAM utanitibulia.
 
Last edited by a moderator:
Mbona mtakonda sana tu, yaani SLAA kawapandkiza wivu, majungu na fitina kiasi kwamba akiwaambia laleni chni awatandike mtatii. Hamtakaa mpate rais anayekubali kupakwa matope kama JK. Tunamsubiri sana kwa hamu huyo mmsai siku moja awe hata Waziri tu aone cha moto kama hatapandisha mori, asifikiri atatuziba midomo. Lazima wanafiki kama akina KUBENEA wa upande wa pili tutaibuka tuone kama hatajinyea.[/QUOTE]

Ndugu katika Bwana hakuna Rais atakayetokea kama KIKWETE hawa wana-waadam waache wamtukane wamfanye kila wanachoona wao ni sawa ika kuna siku watamkumbuka
 
Ulitaka KIBABU KIBACHELA au Dj ndio waende?

Desi Mangola,

..hapana, "kibabu kibachela" na Dj wabaki hapahapa kuvukuzia totoz.

..angeweza kwenda Dr.Bilali,Mizengo Pinda, au hata Bernard Membe.

..kwenye nchi za wenzetu maraisi wao hawahudhurii kila msiba unaotokea.

..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningependekeza ahudhurie misiba ya maraisi wa nchi majirani zetu, au wale waliopata kututembelea wakati akiwa madarakani. misiba mingine amtume makamu wa raisi, au waziri wa mambo ya nje.
 
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!

Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!

Hapo kwenye red, hii hali ni tete na inatisha. Inanikumbusha kisa cha mzee mmoja alijipa discharge mwenyewe kutoka hospitalini baada ya kuona wagonjwa wanafariki mmoja baada ya mwingine kutoka katikati ya wodi kuelekea kitanda chake. Alipofariki yule jirani kabisa, mzee wa watu akatimka akasema kesho ni mimi ebu niondoke zangu kama ni kufa nikafie nyumbani!!!
 
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!

Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!

You are right......vifo hivi kwa hawa majamaa ni angalizo tosha kwa JK kuwa kuna kufa....kwamba ifike mahali kwamba yeye JK kama rais aitumikie nchi kama alivyoapa.......ili hata akiondoka duniani kama hawa majamaa...angalau kuwe na kitu cha kumkumbuka kama nchi.....hii ikimanisha....awashughulikie wezi/mafisadi wanaofilisi nchi hii(TZ)....aache nepotism katika utawala wake....apambane na rushwa na ubadhirifu wa mali za umma...ajenge nchi kama alivyoapa....asimamie raslimali za nchi zinazopokwa na wageni......kwani mwisho wa siku kuna kufa...kama hawa viongozi.....Uzuri mmoja...hawa viongozi wote wenzake waliokufa wameacha legacy kwenye nchi zao...na ndio maana nchi zao zinawalilia....Kikubwa zaidi JK anachotakiwa kujua ni kwamba......utajikinga na majanga yote kama kiongozi....kwa kuwa na misafara mirefu ya magari ya bei mbaya yaendayo kasi na ulinzi mkubwa.....hata uwapo nchini mwako kama rais(hivi ndivyo afanyavyo JK).....lakini HUTOWEZA kujikinga na NATURAL CAUSES OF DEATH(mfano cancer/heart diseases etc).....kama ambavyo wameondoka hawa viongozi mahiri wa afrika.....haya ndiyo anatakiwa ajifunze JK anapohudhuria hii misiba.......
 
Huko Ethiopia atatembelea shamba gani vile? Natumai shamba la kahawa. TAFAKARI: Brazili alitembelea shamba la nyanya, Ghana shamba la mananasi, Visiwa vya Carribean "Bembea Tembezi"

Atatembelea Commodity stock exchange
 
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!

Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!
Kwa hiyo una maana na yeye yuko Safarini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom