JK akikosa safari ya Ethiopia nifungieni mwezi mzima!!!

Status
Not open for further replies.
jk hawezi ku-miss msiba wa meles.the thing is hata kwenda kwenye msiba inabidi walipa kodi tumlipe.

Kweli kwa tanzania uraisi ni urahisi.
hizi fikra za kidemax2 hizzii. Rais ni muwakilishi wa wananchi wa jmtz, hatuwezi kupanda ndege nchi nzima kwenda kwenye msiba wa meles. Funguka kichwa wewe, acha majungu.
 
Hata Mkapa akienda sitashangaa, kwani Zenawi ni mtu waliyefanya naye kazi karibu.

I understand there is a concern kuhusu rais kusafiri sana, lakini kuna dynamics za AU, kuna maongezi ya ku forge relationship with the new leader pale, kuna vitu kibao ambavyo huwezi kuvi dismiss tu kwa sababu hujui baadaye vitaweza ku play vipi kwenye national interests.

Mie naweza kusema JK anaweza ku delegate mambo mengi sana, hata huu msiba, lakini akienda napo sitashangaa.

Tatizo la kiongozi wetu ni kutokuwa na kipaumbele. Sasa yanapokuja mombo mazito ya kuhitaji yeye awepo watu wanashindwa kuelewe kipaumbele kwake ni kipi maana hata madogo ya kutuma wasaidizi yeye yumo tu.
 
Mbona mtakonda sana tu, yaani SLAA kawapandkiza wivu, majungu na fitina kiasi kwamba akiwaambia laleni chni awatandike mtatii. Hamtakaa mpate rais anayekubali kupakwa matope kama JK. Tunamsubiri sana kwa hamu huyo mmsai siku moja awe hata Waziri tu aone cha moto kama hatapandisha mori, asifikiri atatuziba midomo. Lazima wanafiki kama akina KUBENEA wa upande wa pili tutaibuka tuone kama hatajinyea.[/QUOTE]Lazima utakuwa na tenda ya kutunga nyimbo za Hadija Kopa, maana mipasho waijua shosti.
 
(JK akikosa safari ya Ethiopia nifungieni mwezi mzima!!!)

Yaani hapo hata mtoto wangu angetabiri.Yaani ni sawa na kukuta ajali mtu kichwa hana,huna
sababu ya kujiuliza kama kafa au yuko hai.
 
Mwacheni atavutia pia uwekezaji ktk uchimbaji wa mafuta na gas.
 
Hicho ndo kitachomfanya aende ili akaseme kuwa amebaki yeye peke yake. Kwa hiyo tumuombee maana wenzake wametangulia mbele ya haki. Hamtaki ashirikihuo msiba. Kwani wawakilishi wake wanweza kumwakilisha vizuri jamani?
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!

Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!
 
Kama ulikula sana miguu ya kuku utotoNi,,ukubwa we utakua safari kama mbwa mwenye njaa!!
 
Nilishangaa alivyokwenda kwa Kageme kuhudhulia jubilee ya miaka hamisin, wakati ya kwetu jamaa alichomoa, hata kibaki hakukanyaga. Kiufupi Dhaifu ni mrahisi mno, ndio maana waraisi wenzake wa ukanda huu wanamdharau!
 
Wewe Nyumba!

Pamoja na chuki zako kwa Dhaifu which is your right hatutaki uchuro kutawaliwa na Mzanzibar even for three months we are not ready! Hasara ya kutawaliwa na Yule Alhaji Mwinyi it's too bad Kama Dhaifu akitutoka while he is in power kwani huyu Taliban Makamu wa Rais Bilali ni bomu kumzidi Mwinyi.


Mkuu Mokerema nadhani haujanielewa vizuri,sijasema nataka Rais wangu afariki jamani,nimesema jinsi anavyojisikia kubaki peke yake ndani ya miezi miwili (Yaani naonyesha huruma kwa rais JK kubaki peke yake).Naomba usinielewe vibaya mkuu hata kidogo.Kwanza mimi binafsi namfagilia JK kwa sana tu wala huwa sijali kauli zenu za kumuita dhaifu.
 
Mkuu hapo kwenye red hebu fafanua kidogo


Mkuu BHULULU, Namaanisha kati ya marais wa3 waliokwenda USA kwaajili ya ule mradi mkubwa wa kilimo mwezi wa 6 Yaani rais wa Ghana,Waziri mkuu wa Ethiopia na Rais wa Tanzania ndani ya miezi miwili tu Kabaki rais wa Tanzania pekee wenzake wote wametangulia mbele za haki,so namuonea imani/huruma Rais wangu kwa uchungu alionao kwa kuondokewa na maswahiba zake ndani ya muda usiozidi miezi miwili.
 
Hicho ndo kitachomfanya aende ili akaseme kuwa amebaki yeye peke yake. Kwa hiyo tumuombee maana wenzake wametangulia mbele ya haki. Hamtaki ashirikihuo msiba. Kwani wawakilishi wake wanweza kumwakilisha vizuri jamani?



Kama hiyo ndiyo sababu basi naona inamashiko,so naungana na uamuzi wake wa kuhudhuria mazishi.
 
Mtu wa jamii anatuwakilisha yakhe. Kwa kweli ninamsifu Rais wangu kwa kuweza kushiriki masuala ya kijamii sana. Kwa kweli kila mtu ana kipaji au strenth yake na hii kweli inamfaa sana. Ame-excel sana. Tumpigie makofi, wa wa wa wa wa .
 
Nyie vimada wa Slaa, kama akili zenu ziko sawa basi mshaurini Slaa au Mbowe na yeye aombe lift kwa JK akashiriki haya mazishi. Ni wajibu wa rais akashiriki haya mazishi ya mtu muhimu kwenye historia ya waethiopia. Mnakaa kulalamika bila maana yeyote ilimradi mkakinge mikono kwa Mnyika. Hela ni mbaya sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom