Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Kuhusu hao baadhi ya waafrika wenzetu kweli itabidi niombe ushahidi.
Hao wengine wajepu,wachainiz na hata waarabu hawaendi huko kwa minajili ya kutembeza bakuli...Huwezi kuwa omba omba halafu unayemuomba umsumbue kukutafutia watafsiri,tumekubali kuwa na viongozi wenye mwelekeo huo na hivyo hatuwezi kujifanya eti tuko huru...Mkuu hatuko huru,kuanzia kiongozi mkuu wa kaya ambaye yeye ni mtumwa wetu mkuu na unafuu wake mwenyewe ni benefits zaidi kama kusafiri na kukutana na mabwana wakubwa wanaotu own,ndo ukweli.
Miafrika Ndivyo Tulivyo