Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Inaonekana hata hiyo ya ILO huko Uswisi ameikataa, i wondoer why ameanza kukataa trip za majuu!Ameona za nje zinalipa zaidi
Inaonekana hata hiyo ya ILO huko Uswisi ameikataa, i wondoer why ameanza kukataa trip za majuu!Ameona za nje zinalipa zaidi
Hana jipya la kuwambia wafanyakazi,maana Maisha bora yameyeyuka.Falsafa yake inatumika tena kumkaanga.EPA haina majibu,Mawaziri wake wanajiziulu n.k
Nyongeza ya mshahara kwa njia ya kisayansi(aliunda tume kutafiti) imekwama?Maana tume ilifanya utafiti na mapendekezo yametolewa hayatekelezeki.Na TUCTA wanahitaji kima cha chini 315k
Kukimbia wajibu si kusuluhisha tatizo.
Safari imeanza hiyo, tunaisubiri ripoti nyingine ya REDET tuone ameporomoka kiasi gani
Watanzania, tusimlaumu sana JK kwani taabu hizi zote na mzigo huu kaachiwa na Mkapa, kuwa miwaziri mizi, ujue kama asingeiteua kweli angejiweka pabaya, sasa tunamtaka aende pale Iringa akaseme nini jamani? Kikwete ana nia njema tuu ila hawa maswahiba zake ndiyo wanamuangusha
Watanzania, tusimlaumu sana JK kwani taabu hizi zote na mzigo huu kaachiwa na Mkapa, kuwa miwaziri mizi, ujue kama asingeiteua kweli angejiweka pabaya, sasa tunamtaka aende pale Iringa akaseme nini jamani? Kikwete ana nia njema tuu ila hawa maswahiba zake ndiyo wanamuangusha
kikwete mwaka huu atakimbia mengi, na atawakimbia wengi.
na angeenda kwenye mkutano wa mei mosi angesema nini? samahanini lakini kila niliyemchagua kwenye nafasi ya uwaziri fisadi?
lazima kwa hali ilivyo akwepe watu. na bado....ndo kwanza mwanzo huu
tukta msimwalike waziri mkuu, nashauri mumualike mzee Mwinyi. Mpeni jukwaa la Kitaifa Rais Mwinyi kama walivyofanya wenzenu mwaka 1995 walipoamua kumkaribisha Rais Nyerere.
Msanii amepatikana, ipo siku atakiri hadharani kwamba mambo yameshamshinda, na wapambanaji tupo tutampokea kijiti ili kukifikisha pale watanzania wanapotaka kifike, arobaini yake naona haiko mbali inakaribia sana tu washikaji.
Sasa rais wa jamhuri tena yetu ya Tanzania, anapoanza kukwepa wafanyakazi wa jamhuri something is not right, lakini hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja very soon tutayajua yanayojiri huko ndani maana hapa something is not very right............ na fumbo mfumbie mjinga maana mwerevu.......!
Yaaani sasa mkulu hataki tena zile ziara za wizarani na masokoni, na mahospitalini, kulikoni?
Wabongo kwa umbeya!!!, Nongwa!!, majungu!!! mpaka lini????? Haya yametokea wapi? Haya semeni basi mgeni wa Mei Mosi atakuwa nani? Kwani ni lazima kila Mei Mosi Rais aseme? Waziri Mkuu, Waziri wa Kazi, Makamu wa Rais wakizungumza haitoshi? Kwanza huyu JK kila mwezi anazungumza yeye tu, mwaka huu awaachie na wenzake wasikike.
Sasa rais wa jamhuri tena yetu ya Tanzania, anapoanza kukwepa wafanyakazi wa jamhuri something is not right, lakini hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja very soon tutayajua yanayojiri huko ndani maana hapa something is not very right............ na fumbo mfumbie mjinga maana mwerevu.......!
Yaaani sasa mkulu hataki tena zile ziara za wizarani na masokoni, na mahospitalini, kulikoni?