JK, ahadi ya Meli ktk Ziwa Victoria vipi?

bakuza

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
490
100
Mimi ni mwenyeji wa kule maafa ya mv Bukoba yalipotoke na ni mpandaji wa vyombo vya usafiri ktk ziwa hili jema tulilojaliwa na Muumba.

Nasikitishwa na hali ya usalama wa vyombo vyetu hivi. Maana hata MV VICTORIA ni hohe hae ktk hali ya uzima na usalama wa maisha ya watanzania wengine wengi.

Hivi ahadi ya Jk kununua meli nyingine ina maana ikiwa iliyopo hali yake ni mbaya? Acheni utumbo wa kuweka rehani maisha yetu.
 
mkuu ile ni ahadi tu mana alizitoa nyingi akijua kabisa hata asipotimiza tutamfanya nni mana ndo anamaliza kipindi chake
 
Hivi kweli ulidhani atatimiza ahadi zake! ile ilikuwa ni danganya toto ili mumpe kura amalizie muhula wake wa 2. Alitoa ahadi nyingi sana tangua aingie madarakani mwaka 2005 hadi uchaguzi wa mwaka jana zilizotekeleza sidhanikama zinafika 2
 
almost 90trillion value of all promises to be fulfilled in five years! is it possible or magambaz!!!!!!!!!!ha ha ha ha, frying over za ubungo?sijui ubungo ndo kuna folen tu au kwa kuwa kwao ni bagamoyo anyway mi sijui, alihaidim mengi hadi katin=bu wake alishindwa kuyakumbuka! shortly not documented!
 
Back
Top Bottom