Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ni watu watakaokuwemo kwenye tume ya kuratibu na kukusanya maoni kuhusu katiba mpya.ni watu 15 kutona bara na 15 kutoka viviwani.mwisho ni march 16,2012 baada ya hapo rais atakaa na rais wa zanzibar kuteua majian ya hao watu na mwenyekiti atakaye simamia huo mchakato...
source:hapa