Elections 2010 Jk aagiza kuwa hataki wabunge wa upinzani mkoa wa pwani

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
zipo taarifa zinzoonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo la kibaha mjini alishinda kwa kupata kura nyingi, lakini matokeo hayao yakabatilishwa kutokana na agizo la jk kuwa hataki hata jimbo moja la mkoa wa pwani.

Kabla ya hapo
msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.

Inabidi wapenda mabadiliko wote tuvalie njuga suala la mabadiliko ya katiba na kuwepo tume huru ya uchaguzi kama tulivyojipanga katika uchaguzi huu ili tuondokane na wasimamizi ambao ni watumishi wa serikali iliyoko madarakani kama vile wakurugenzi wa halmashauri
.
 
zipo taarifa zinzoonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo la kibaha mjini alishinda kwa kupata kura nyingi, lakini matokeo hayao yakabatilishwa kutokana na agizo la jk kuwa hataki hata jimbo moja la mkoa wa pwani.

Kabla ya hapo
msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.

Inabidi wapenda mabadiliko wote tuvalie njuga suala la mabadiliko ya katiba na kuwepo tume huru ya uchaguzi kama tulivyojipanga katika uchaguzi huu ili tuondokane na wasimamizi ambao ni watumishi wa serikali iliyoko madarakani kama vile wakurugenzi wa halmashauri
.

Mhh habari kama hizi zinatakiwa kuwa supported na Ushahidi, Cha msingi ni Chadema kuangalia mchakato mzimo wa utangazaji matokeo ulivyokuwa. Kama Chadema imeshinda, basi Ikikatwa rufaa yote yatakuwa wazi. Kumbuka yalotokea kwa Slaa uchaguzi ulopita.
 
mhh habari kama hizi zinatakiwa kuwa supported na ushahidi, cha msingi ni chadema kuangalia mchakato mzimo wa utangazaji matokeo ulivyokuwa. Kama chadema imeshinda, basi ikikatwa rufaa yote yatakuwa wazi. Kumbuka yalotokea kwa slaa uchaguzi ulopita.

habari nilizopata tayri mgombea anajitayarisha kufungua kesi mahakamani.
 
zipo taarifa zinzoonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo la kibaha mjini alishinda kwa kupata kura nyingi, lakini matokeo hayao yakabatilishwa kutokana na agizo la jk kuwa hataki hata jimbo moja la mkoa wa pwani.

Kabla ya hapo
msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.

Inabidi wapenda mabadiliko wote tuvalie njuga suala la mabadiliko ya katiba na kuwepo tume huru ya uchaguzi kama tulivyojipanga katika uchaguzi huu ili tuondokane na wasimamizi ambao ni watumishi wa serikali iliyoko madarakani kama vile wakurugenzi wa halmashauri
.

Jamani huu ni upuuzi usio na kifani. Mpaka kieleweke!! Wakoloni weusi CCM!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kabla ya hapo msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.

Suala hili kama kuna ushahidi lazima liende mahakamani na haki itendeke......tusiwaachie CCM wakabadilisha matakwa ya wapigakura.wajifunze ya kuwa kuna gharama zake................................
 
Kabla ya hapo msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.
This is too good to be true!
Hivi hawa jamaa ni manyang'au kiasi hiki?
JK anajipaka matope kiasi hiki?..alijua haitajulikana?


 
Kabla ya kuhangaika na mahakamama, naagiza huyo msimamizi wa uchaguzi 'ashughulikiwe' na vijana, ili iwe fundisho kwa wengine...
 
lazima wapenda maendeleo tulione hili na kutoliacha liende! Tukomae mpaka lirudi kwetu
 
HuYO MSIMAMIZI WA UCHAGUZI INGEKUWA NI ARUSHA AU MWANZA ANGEWAJUA VIZURI WAPIGA KURA
 
Kuanzia sasa mgombea yeyote wa UPINZANI akiitwa chemba na msimamizi wa uchaguzi ajimwage huko na vifaa vya kurecord hata simu zetu za mikononi zikitumiwa vizuri wataingia mkenge wenyewe
 
Mkuu wa kazi huyu jamaa wakipewa vijana wanaharakati wamshughulikie hata mahakamani hataweza kufika ataenda kuzikwa tu..
 
zipo taarifa zinzoonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo la kibaha mjini alishinda kwa kupata kura nyingi, lakini matokeo hayao yakabatilishwa kutokana na agizo la jk kuwa hataki hata jimbo moja la mkoa wa pwani.

Kabla ya hapo
msimamizi wa uchaguzi alimuita ofisini kwake mgombea ubunge wa chadema na kutaka kumpatia donge nono inasemekana akakataa; kuona hivyo ikabidi msimamizi wa uchaguzi huyo kumpigia jk ili apatae kuongea na mgombea huyo wa chadema lakini, mgombea huyo akakataa kuzungumza na jk; ndipo wakachukua uamuzi wa kutangaza matokeo tofauti na hali halisi.

Inabidi wapenda mabadiliko wote tuvalie njuga suala la mabadiliko ya katiba na kuwepo tume huru ya uchaguzi kama tulivyojipanga katika uchaguzi huu ili tuondokane na wasimamizi ambao ni watumishi wa serikali iliyoko madarakani kama vile wakurugenzi wa halmashauri
.

mambo kama haya yametokea sehemu nyingi. Unajua kule ambako vyama vya upinzani vimeshinda, wakurugenzi wake wana taabu sana!! Maagizo kama hayo hutolewa kwa DEDs. Ili uchaguzi uwe huru na haki, lazima tume huru ya uchaguzi iwepo!!
 
Naunga mkono hawa wasimamizi wachakachuaji kama wanaogopa mabosi wao kuwanyima kazi basi wajue bosi wa mabosi wao ni wananchi hivyo wamuogope zaidi mwananchi, na kama hawajui huu ndiyo mwisho wao vijana wa sasa nina hakika hawata waacha wa-enjoy dhuluma hiyo hata kidogo na mbaya zaidi ni kuwa maisha yao yako hatarini, sijui kwa nini wanakuwa wajinga kiasi hiki, kuna wakurugenzi na wagombea sehemu nyingine nchini hapa walisalimu amri baada ya nyumba zao na familia zao kuwa hatarini sasa yote hii kwa faida ya nani:doh:
 
habari nilizopata tayri mgombea anajitayarisha kufungua kesi mahakamani.

Usidhani kuwa mahakimu hawapewi amri hivyo hivyo kama wanavyopewa NEC. Tatizo ni baadhi ya misingi ya utawala iliyojengwa tangu Uhuru ni mibaya kwa maendeleo na cha kwanza ni kuelewa hivyo. Kisha turekebishe. Hili la Tume ya Uchaguzi limeshaeleweka wazi wazi. Kwa hiyo kuelekeza nguvu zote katika kuubadilisha mfumo wa NEC ili utendaji wao usifungamane na upande wowote kuwe na kipaumbele katika ajenda za vyama vyote vya siasa na taasisi zote za jamii.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom