kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
Je liwezakuja kuwa jiwe kuu la pembeni neno hili latoka kwa kitalolo nalo laweza kuja kuwa la ajabu machoni pa wengi.
Wakati Lowasa alipokuwa akitajwatajwa kuhusika na usfisadi Nape na kampeni yake ya kujivua gamba aliaanza kukatiza mitaani ni kuendesha kampeni ya kuwangoa mas=fisadi walitajwa katika chama akiwemo chenge, lowasa na Rostitamu. hapa nape kaamua kutala matapishi yake?
sijaleta siasa kweli kwenye jukwaa la picha naomba muangalie tu picha na muburudike msichangie
Last edited by a moderator: