Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,184
Kifaa hiki ni kawaida kukikuta kwenye majiko hasa ya wenye nazo. Jiwe hili licha ya kuwa ni urembo mzuri pia hudumu kwa miaka mingi.
Historia inatuonyesha walioanza kutumia jiwe kupondea viungo na dawa walikuwa ni Wamisri wa kale. Baadae Wagiriki pia waliiga utaratibu huu hasa matabibu na wafamasia kupondea dawa.
Nilialikwa harusini nikafunga jiwe hili kama zawadi. Bibi harusi alifurahi sana alinipigia simu na kusema alikuwa analitamani jiwe hili hakutegemea kama litakuwa jikoni kwake. Nilifarijika sana.