Jiwe anasali wapi sikuhizi?

Kwake chato amejenga kanisa ndani ya nyumba yake, nje pia kajenga bar, pembeni kuna traffic light.
 
We mwanamke siku hizi umekuwa mpumbavu na mpenda sifa.
Kama umeshindwa kumuheshimu Magufuli kama rais basi mheshimu kama mtu mzima aliyekuzidi umri.
 
We mwanamke siku hizi umekuwa mpumbavu na mpenda sifa.
Kama umeshindwa kumuheshimu Magufuli kama rais basi mheshimu kama mtu mzima aliyekuzidi umri.
Povu la kutosha kabisa si mchezo
Screenshot_2019-02-11-12-46-38-401_org.mozilla.firefox.jpeg
 
Hatuoni tena picha za Jiwe akiwa St Peter’s Jumapili. Au ameamua kubaki na mungu wa mababu zetu? Maana Mungu wa Jacob na Elia anaona kila jambo litendwalo.
Anasali kila siku mpaka wapiga picha wamechoka kumpiga picha. Imekua kawaida, sio habari mpya tena. Siku hizi wanampiga picha once a month
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom