Alivo.next sunday ataenda ili akujibuHatuoni tena picha za Jiwe akiwa St Peter’s Jumapili. Au ameamua kunakucha na mungu wa mababu zetu? Maana Mungu wa Jacob na Elia anaona kila jambo litendwalo.
Hatuoni tena picha za Jiwe akiwa St Peter’s Jumapili. Au ameamua kubaki na mungu wa mababu zetu? Maana Mungu wa Jacob na Elia anaona kila jambo litendwalo.
Umeshawahi kuona ng'ombe na mbuzi wanafugiwa kwenye ghorofa? karibu chattleKazi ipo
Povu la kutosha kabisa si mchezoWe mwanamke siku hizi umekuwa mpumbavu na mpenda sifa.
Kama umeshindwa kumuheshimu Magufuli kama rais basi mheshimu kama mtu mzima aliyekuzidi umri.
Hatuoni tena picha za Jiwe akiwa St Peter’s Jumapili. Au ameamua kubaki na mungu wa mababu zetu? Maana Mungu wa Jacob na Elia anaona kila jambo litendwalo.
😂😂😂soo funny aiseAlivo.next sunday ataenda ili akujibu
😂😂😂😂una stress wwWe mwanamke siku hizi umekuwa mpumbavu na mpenda sifa.
Kama umeshindwa kumuheshimu Magufuli kama rais basi mheshimu kama mtu mzima aliyekuzidi umri.
😁😁😁😁😁😁😁😀h 😂😃 hili ni povu auWe mwanamke siku hizi umekuwa mpumbavu na mpenda sifa.
Kama umeshindwa kumuheshimu Magufuli kama rais basi mheshimu kama mtu mzima aliyekuzidi umri.
Anasali kila siku mpaka wapiga picha wamechoka kumpiga picha. Imekua kawaida, sio habari mpya tena. Siku hizi wanampiga picha once a monthHatuoni tena picha za Jiwe akiwa St Peter’s Jumapili. Au ameamua kubaki na mungu wa mababu zetu? Maana Mungu wa Jacob na Elia anaona kila jambo litendwalo.