Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,255
- 2,572
Huenda unapenda sana kubeba mizigo mgongoni..TUA huo MZIGO..sahau na samehe..tena na upo kwemye mwezi wenu mtukufu jamani??unashindwa nn kusamehe?
Na kikubwa asizoee sana ofisi za watu kihivo ,choo cha hapo kipo kwa ajili ya wateja na sio wapita njia .
Tujifunze kuheshimu ofisi za watu na kuwa na mipaka kwenye ofisi za watu no matter mmezoeana kiasi gani
Boss ajatumia approach nzuri pia kwenye kumkabili Mwanasheria wetu.