Jiulize maswali Haya kabla ya kuchangia pesa ya Covid-19

Wakuu kuna vichekesho vinafanywa na hii serikali ya wanyonge,eti inawataka wananchi wachange pesa ili kupambana na virus vya Corona

Binafsi nimeshaangaa sana baada ya kuona bango la kuwataka raia wachangie pesa ili khali wagonjwa tangu tupatiwe taarifa kuwa kuna wagonjwa 11 Tanzania bara na watatu visiwani,sasa ni wiki tatu kwa Tanzania bara hatujapewa updates zozote,kwa akili nyepesi serikali imeshaudhibiti huu ugonjwa maana hadi sasa ni wiki tatu hakuna kesi mpya ya maambukizi sasa hizo pesa wanazochangisha raia ni za kazi gani wakati serikali imeshadhibiti huu ugonjwa.

Na kama serikali inaficha taarifa za maambukizi je ni kwa faida ya nani ili khali anayeumia ni Raia wa chini

Mwisho sioni haja ya wananchi kuchangishwa pesa ikhali wagonjwa tulio nao ni 13 na hawaongezeki kwa dhana hii inaonesha tayari serikali imeshadhibiti huu ugonjwa sasa pesa za nini tena ,chukulia mfano afrika kusini ina maambukizi 1000+ mbona hatujaona wananchi wakichangishwa pesa, serikali acheni upuuzi tupeni taarifa sahihi za maambukizi ya huu ugonjwa kwa manufaa mapana ya taifa ,tofauti na hilo hauna haja kwa raia kuchangia pesa zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe km hutaki acha wale tuliotayari kuchangia tuchange! Chadema tuliwachangia mbona? Mi nitachanga.
 
Hacha ububusa mkuu, mchango wa nini wakati ugonjwa umedhibitiwa?? Nadhan mchango husiwe kwa ajili ya korona bali tuchangie màendeleo ya nchi yetu.
Pia tabia ya viongozi wetu kuwadhulumu wanufaika wa michango inaua umuhimu wa kuchangia michango inayoenda moja kwa moja kwa madhulumati
Kuwa mzalendo boss!
Halafu kama hutaki kutoa, unaacha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kuna vichekesho vinafanywa na hii serikali ya wanyonge,eti inawataka wananchi wachange pesa ili kupambana na virus vya Corona

Binafsi nimeshaangaa sana baada ya kuona bango la kuwataka raia wachangie pesa ili khali wagonjwa tangu tupatiwe taarifa kuwa kuna wagonjwa 11 Tanzania bara na watatu visiwani,sasa ni wiki tatu kwa Tanzania bara hatujapewa updates zozote,kwa akili nyepesi serikali imeshaudhibiti huu ugonjwa maana hadi sasa ni wiki tatu hakuna kesi mpya ya maambukizi sasa hizo pesa wanazochangisha raia ni za kazi gani wakati serikali imeshadhibiti huu ugonjwa.

Na kama serikali inaficha taarifa za maambukizi je ni kwa faida ya nani ili khali anayeumia ni Raia wa chini

Mwisho sioni haja ya wananchi kuchangishwa pesa ikhali wagonjwa tulio nao ni 13 na hawaongezeki kwa dhana hii inaonesha tayari serikali imeshadhibiti huu ugonjwa sasa pesa za nini tena ,chukulia mfano afrika kusini ina maambukizi 1000+ mbona hatujaona wananchi wakichangishwa pesa, serikali acheni upuuzi tupeni taarifa sahihi za maambukizi ya huu ugonjwa kwa manufaa mapana ya taifa ,tofauti na hilo hauna haja kwa raia kuchangia pesa zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeaanza nyumbani kwako, jirani, mtaani, kazini, marafiki zako, ndugu na kadhalika kama kuna mgonjwa utoe ripoti, na siyo kulaumu na kulalamika.

JIFIKIRISHE KWANZA
 
We
Hii tabia ya kusema serikali inaficha inaficha haya nyie mnaojua mtuambie. Hapo kwako, mtaani kwako kazini ushasikia au kukutana na wagonjwa wa covid-19 wangapi?
Mbona mnaosema serikali inaficha mnaleta blah blah bila uthibitisho? Au mnapenda tu kusikia tuna wagonjwa wengi.
We fala umetangaziwa nini kuhusu utoaji wa taarifa za Covid-19???? Ni watu wa nne tu!!! Wanatoa taarifa.
 
Mbona wakiwekwa ndani tunachangia kuwatoa,pia we unasubiri wagonjwa waongezeke ndipo uanze kuchanga?Sidhani Kama nisahihi!inatakiwa tahadhari ichukuliwe kabla,pia
Michango siyo lazima
Wakuu kuna vichekesho vinafanywa na hii serikali ya wanyonge,eti inawataka wananchi wachange pesa ili kupambana na virus vya Corona

Binafsi nimeshaangaa sana baada ya kuona bango la kuwataka raia wachangie pesa ili khali wagonjwa tangu tupatiwe taarifa kuwa kuna wagonjwa 11 Tanzania bara na watatu visiwani,sasa ni wiki tatu kwa Tanzania bara hatujapewa updates zozote,kwa akili nyepesi serikali imeshaudhibiti huu ugonjwa maana hadi sasa ni wiki tatu hakuna kesi mpya ya maambukizi sasa hizo pesa wanazochangisha raia ni za kazi gani wakati serikali imeshadhibiti huu ugonjwa.

Na kama serikali inaficha taarifa za maambukizi je ni kwa faida ya nani ili khali anayeumia ni Raia wa chini

Mwisho sioni haja ya wananchi kuchangishwa pesa ikhali wagonjwa tulio nao ni 13 na hawaongezeki kwa dhana hii inaonesha tayari serikali imeshadhibiti huu ugonjwa sasa pesa za nini tena ,chukulia mfano afrika kusini ina maambukizi 1000+ mbona hatujaona wananchi wakichangishwa pesa, serikali acheni upuuzi tupeni taarifa sahihi za maambukizi ya huu ugonjwa kwa manufaa mapana ya taifa ,tofauti na hilo hauna haja kwa raia kuchangia pesa zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harambee ya Corona virus fund ni jambo jema.Sioni ubaya wa hilo.Ni kwa faida yetu wenyewe.
Bora uzima kwanza malumbano baadae tukiwa hai.
Elezea faida ya misaada iliyotolewa kwa tetemeko Kagera/bukoba, binafsi najisikia aibu jinsi watu wanaposema kutoa kwao kulilenga kuwasaidia waadhirika moja kwa moja, na sio kukalabati miundo mbinu kama barabara, shule madaraja n.k. Napenda hii waseme wanakusudi kuitumiaje, ili mtu achangiapo ajue nguvu yake ameelemeza wapi, uenda mtu hataki fedha yake itumike kulipana posho, kutilia gari mafuta, isije kuwa kama padre hatoagi sadaka kwenye kapu la pamoja sijui anatolea wapi ata kama anakipato!
 
hatutoi hata senti 5! Maisha magumu kwetu sisi "wanyonge"! Pesa ipo kwa sirikali, tunayo ya kutosha! Kila siku mkulu anatuambia hivyo.

Na ili kututhibitishia hilo wananunua ndege kwa cash! Kwa billions of money, washindwe vimilion kadhaa vya kupambana na corona?????????????????
 
Hii tabia ya kusema serikali inaficha inaficha haya nyie mnaojua mtuambie. Hapo kwako, mtaani kwako kazini ushasikia au kukutana na wagonjwa wa covid-19 wangapi?
Mbona mnaosema serikali inaficha mnaleta blah blah bila uthibitisho? Au mnapenda tu kusikia tuna wagonjwa wengi.

Uko sahihi, ndio maana mleta mada anaishangaa Serekali kuwa inaomba michango ya nini, wakati huo ugonjwa haujafikia viwango vya kuilemea serikali?
 
Wakuu kuna vichekesho vinafanywa na hii serikali ya wanyonge,eti inawataka wananchi wachange pesa ili kupambana na virus vya Corona

Binafsi nimeshaangaa sana baada ya kuona bango la kuwataka raia wachangie pesa ili khali wagonjwa tangu tupatiwe taarifa kuwa kuna wagonjwa 11 Tanzania bara na watatu visiwani,sasa ni wiki tatu kwa Tanzania bara hatujapewa updates zozote,kwa akili nyepesi serikali imeshaudhibiti huu ugonjwa maana hadi sasa ni wiki tatu hakuna kesi mpya ya maambukizi sasa hizo pesa wanazochangisha raia ni za kazi gani wakati serikali imeshadhibiti huu ugonjwa.

Na kama serikali inaficha taarifa za maambukizi je ni kwa faida ya nani ili khali anayeumia ni Raia wa chini

Mwisho sioni haja ya wananchi kuchangishwa pesa ikhali wagonjwa tulio nao ni 13 na hawaongezeki kwa dhana hii inaonesha tayari serikali imeshadhibiti huu ugonjwa sasa pesa za nini tena ,chukulia mfano afrika kusini ina maambukizi 1000+ mbona hatujaona wananchi wakichangishwa pesa, serikali acheni upuuzi tupeni taarifa sahihi za maambukizi ya huu ugonjwa kwa manufaa mapana ya taifa ,tofauti na hilo hauna haja kwa raia kuchangia pesa zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpuuzi sana wewe na kizazi chako. Acha upinzani wa kijinga kiasi hiki. Kama huna nia au uwezo wa kuchangia kuna watu wenye mapenzi na watanzanjia wenzao watachangia.

Kwa akili yako unadhani pesa ni kwa ajili ya tiba tu!! Huelewi kuna kununua vifaa vya kujikinga na ugonjwa kwa raia wa kawaida na waganga wetu na vifaa vya kupima na kubaini mwenye maambukizi?

Utafulahia sana mlipuko wa ugonjwa ukiwa mkubwa na vifaa vya kujikinga hamna ndiyo uishambulie vizuri serikali!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona unanitukana,nimeuliza tu,pesa yanini wakati maambukizi yamethibitiwa,sasa ni wiki tatu tangu tuambiwe wagonjwa wako 13 sasa kwa dhana hii ugonjwa hayupo tena maana maambukizi mapya hayapo sasa kutuambia tuchangie wakati hakuna new kesi ni pesa kwa ajili ya nini?
Mpuuzi sana wewe na kizazi chako. Acha upinzani wa kijinga kiasi hiki. Kama huna nia au uwezo wa kuchangia kuna watu wenye mapenzi na watanzanjia wenzao watachangia.

Kwa akili yako unadhani pesa ni kwa ajili ya tiba tu!! Huelewi kuna kununua vifaa vya kujikinga na ugonjwa kwa raia wa kawaida na waganga wetu na vifaa vya kupima na kubaini mwenye maambukizi?

Utafulahia sana mlipuko wa ugonjwa ukiwa mkubwa na vifaa vya kujikinga hamna ndiyo uishambulie vizuri serikali!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi sana wewe na kizazi chako. Acha upinzani wa kijinga kiasi hiki. Kama huna nia au uwezo wa kuchangia kuna watu wenye mapenzi na watanzanjia wenzao watachangia.

Kwa akili yako unadhani pesa ni kwa ajili ya tiba tu!! Huelewi kuna kununua vifaa vya kujikinga na ugonjwa kwa raia wa kawaida na waganga wetu na vifaa vya kupima na kubaini mwenye maambukizi?

Utafulahia sana mlipuko wa ugonjwa ukiwa mkubwa na vifaa vya kujikinga hamna ndiyo uishambulie vizuri serikali!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa serious na huu ugonjwa tuonyeshe kweli upo hivyo, chukua hatua stahiki zuia mikusanyiko isiyo ya lazima ikiwemo ya ibada, kwa kuwa ikichanganya mtazuia tu, kwa nini msianze sasa hivi!
 
Back
Top Bottom