Elections 2010 Jitu Soni ametangazwa mshindi Babati vijijini

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,975
9,566
Jitu Soni ametangazwa mshindi na tume ya uchaguzi, kwa kupata kura 32,477, dhidi ya Laurent Tara wa NCCR kwa tofauti ya kura 500, ( simple victory).
 
Jitu Soni ametangazwa mshindi na tume ya uchaguzi, kwa kupata kura 32,477, dhidi ya Laurent Tara wa NCCR kwa tofauti ya kura 500, ( simple victory).

Any regrets, kwa nini wamechelewesha hadi leo? Tuna hofu.
 
Sasa jamani muwe mnaweka chama na Jimbo

samahanini ndugu zanguni, si mnajua mie mwanamageuzi, nilichanganyikiwa nilipoona katangazwa yeye soni.

Huyu Bwana Soni ni FISADI LA KIHINDI huko KIRU babati, anaekari zaidi ya elfu 20, ameshinda kupitia CCM
 
CCM ni weeeeeeeeeeeeeeeeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................
 
ITV imeripoti hivi sasa hivi ya kuwa hesabu za kujumlisha kura bado ccm kidedea kwa mtiririko wa kura kama ifuatavyo:-

a) CCM............32, 777

b) NCCR-MAGEUZI.......31, 635

c) APTT Maendeleo (?) .........90
 
ITV imeripoti hivi sasa hivi ya kuwa hesabu za kujumlisha kura bado ccm kidedea kwa mtiririko wa kura kama ifuatavyo:-

a) CCM............32, 777

b) NCCR-MAGEUZI.......31, 635

c) APTT Maendeleo (?) .........90
:smile-big: Ruta, je hawajagoma tena YARUDIWE???
saa zingine ni kujiabisha wanapenda na kwa mfumo huo unadhani wakisema kwingine yarudiwe si wanatafuta kutukanwa>>>
 
huyo jamaa ni kabila gani?Tumepata tarifa kwamba kuna fujo katika kiru mashabhani,wakulima wakubwa wanatesa wanainchi.
 
Back
Top Bottom