Kama lengo ni kusaidiana c uitaje hapa hapa mtalaamuUje tu inbox ntakupa maagizo ya kujitibu mwenyewe kuna dawa ntakuagiza ukanunue mwenyewe utafanya lengo ni kusaidia tu
Wweeeeee best mimi nataka ya mwanaume halisi za majini hapana![emoji
Nipo mbona best na wewe tu ndo umeadimika sanaUmepotelea Wapi wee mwanaume lakini??? Unaoneka kwa machale sana!
Unaogopa kila siku kuamka umelowa uko downWweeeeee best mimi nataka ya mwanaume halisi za majini hapana!
Sasa ni muda wa kutoa shuhuda kwa waliojaribu
For research purpose itabidi nijaribuHaya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
HallucinationsLive kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!!
Mtaalamu jinsi ya kumrudisha mpenzi aliyekukimbia je ?
Kuna mtu nataka nimrudishe tucheze tena mchezo wetu wa kibaba baba na kimama mama.
Siriasi
Mtaalamu jinsi ya kumrudisha mpenzi aliyekukimbia je ?
Kuna mtu nataka nimrudishe tucheze tena mchezo wetu wa kibaba baba na kimama mama.
Siriasi
Mkuu embu tufundishe mbinu nyingine kama hiyo ambayo tunaweza kuifanya kwenye mazingira yetu ya kawaida. Kuhusu jambo lolote lile.Ndo za wengine ni siri wamekuja inbox na nimewapa tafsiri
Mkuu unaizungumziaje bange katika ushirikina ni kweli inaweza kukulinda dhidi ya nguvu za giza. Naomba jibu plsKama una jina au picha inawezekana ila inachukua muda mrefu ndani ya siku 40
Hivi ukiota unafanya mapenzi na mwanamke unayempenda Ila hauko nae kimahusiano.,,inamaanisha Nini? Majibu tafadhali