Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Je, unasumbuliwa na presha! Kisukari! Uchovu! Au huna hamu na tendo la ndoa!!
Alkhasusi ni kinywaji kama ilivyo chai inatengenezwa kwa muunganiko wa viungo tofauti
Alkhasusi itakutibu kabisa ukifuata matumizi bora ya kinywaji hiki
Viungo:
Tangawizi, kahawa, kokoa na mlonge
Kuna mti mmoja nimeshindwa kuandika kwa kiswahili
Unabonda bonda mizizi hadi inageuka unga then unaweka ujazo wa kikombe cha chai vijiko viwili
Ikiisha chemka tayari kwa kunywa unatia na asali ya asili kijiko kimoja unakoroga tayari kwa kunywa
Fanya hivi kwa mwezi mmoja kila asubuhi.
Alkhasusi ni bora zaidi kwa wanaougua kisukari kuliko kunywa madawa ya hospitali
Inatibu kabisa pressure (bp), inaondoa uchovu 100% kwa wale overworking both manual and soft
Kwa wanawake:
Hasa kwa wale waliokwisha jifungua inarejesha uimara katika sehemu za siri kwani mishipa inakaza tena (verginity kwa 80%)
Pia kwa wanawake waliojifungua utaepuka kuumwa kiuno hapa nadhani kinamama wanaelewa vyema
Kwa wanaume:
Inakusaidia kukaza kwa korodani zilizolegea pia inaimarisha misuli ya uume kama umeathiriwa na porn
Inaondoa uchovu kwa 100%.
Kwa watoto
Watoto wadogo husumbuliwa sana na vifua mtibu kwa kumpa Alkhasusi.
Hiki kinywaji ni maarufu sana kwa wakazi wa tanga ndio maana ni mara kukuta wazee wa huu ukanda wanasumbuliwa na maradhi hayo
Waarabu wengi husafirisha kwenda kwao kunitibia
Huo mti nilioshindwa kuutaja kwa kiswahili naweza tukajulishana kupitia pm
Jiponye na alkhasusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alkhasusi ni kinywaji kama ilivyo chai inatengenezwa kwa muunganiko wa viungo tofauti
Alkhasusi itakutibu kabisa ukifuata matumizi bora ya kinywaji hiki
Viungo:
Tangawizi, kahawa, kokoa na mlonge
Kuna mti mmoja nimeshindwa kuandika kwa kiswahili
Unabonda bonda mizizi hadi inageuka unga then unaweka ujazo wa kikombe cha chai vijiko viwili
Ikiisha chemka tayari kwa kunywa unatia na asali ya asili kijiko kimoja unakoroga tayari kwa kunywa
Fanya hivi kwa mwezi mmoja kila asubuhi.
Alkhasusi ni bora zaidi kwa wanaougua kisukari kuliko kunywa madawa ya hospitali
Inatibu kabisa pressure (bp), inaondoa uchovu 100% kwa wale overworking both manual and soft
Kwa wanawake:
Hasa kwa wale waliokwisha jifungua inarejesha uimara katika sehemu za siri kwani mishipa inakaza tena (verginity kwa 80%)
Pia kwa wanawake waliojifungua utaepuka kuumwa kiuno hapa nadhani kinamama wanaelewa vyema
Kwa wanaume:
Inakusaidia kukaza kwa korodani zilizolegea pia inaimarisha misuli ya uume kama umeathiriwa na porn
Inaondoa uchovu kwa 100%.
Kwa watoto
Watoto wadogo husumbuliwa sana na vifua mtibu kwa kumpa Alkhasusi.
Hiki kinywaji ni maarufu sana kwa wakazi wa tanga ndio maana ni mara kukuta wazee wa huu ukanda wanasumbuliwa na maradhi hayo
Waarabu wengi husafirisha kwenda kwao kunitibia
Huo mti nilioshindwa kuutaja kwa kiswahili naweza tukajulishana kupitia pm
Jiponye na alkhasusi
Sent using Jamii Forums mobile app