Kiukweli Mkuu Rakims ndio aliefanya nikajiunga rasmi JF miaka kadhaa iliyopita(ID ile nimeacha nayo). Nilikuwa msomaji tu ila uzi wa "Meditation" ndio ulipoanza nikajiunga rasmi. Hongera mkuu umenisaidia vingi sana mpaka sasa kwenye matumizi sahihi ya ubongo na kiroho.
Mwenyezi Mungu akupe kila lililo na Kheri kwako Brother.
Mwenyezi Mungu akupe kila lililo na Kheri kwako Brother.