Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
Naomba hili nilimwage hapa maana moyo wangu utapasuka. huyu dada ni muuzaji mkubwa wa mwili wake hapa mjini, sina shida na hilo..
Kinachonikata nyongo ni pale hii ajira anayofanya hapa au huko kwenye kampuni ingine alikotokea ni gheresha tu kwa wateja wake kuwa she's a working class, lakini pia kuihadaa jamii inayomzunguka.
Hategemei mshahara (kwa mujibu wa kauli zake na lifestyle yake hapa ofisini) na maisha yake ni ghali kwa pesa za mapedeshee... Kwanini asingewaachia wadada wenye uhitaji wa ajira hii kuliko kuzibia wengine riziki kama ana uwezo kuishi bila hiki kibarua?
Kinachonikata nyongo ni pale hii ajira anayofanya hapa au huko kwenye kampuni ingine alikotokea ni gheresha tu kwa wateja wake kuwa she's a working class, lakini pia kuihadaa jamii inayomzunguka.
Hategemei mshahara (kwa mujibu wa kauli zake na lifestyle yake hapa ofisini) na maisha yake ni ghali kwa pesa za mapedeshee... Kwanini asingewaachia wadada wenye uhitaji wa ajira hii kuliko kuzibia wengine riziki kama ana uwezo kuishi bila hiki kibarua?