Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Domo zege mnapata taabu sana
😂😂😂Iba moja uwe unainusa.
Afu nae mbona anavaa chupi za bei rahisi hivyo?
Ni wewe tu K unatamka maneno haya wengine siwasikii 🙄👍👍🤏Raha sana kuwa mwanamke ☺️.
Unapenda Sana kucomment kuwa mleta uzi au comment flani ni "Chai" hivi mtu adanganye humu ili imsaidie nini? Kwanza hata hatujuani na % kubwa watu huleta habari za kweli kwa 99% kwa kuwa wanatumia fake ID. Itakuwa una tabia za uongo uongo unahisi na wenzio wapo hivyo hivyoVitafunwa unaleta au tuinywe kavu kavu?
Manzi kama mzuri namuelewa huo ujinga hata mimi siachi kufanya. 🤣🤣Iba moja uwe unainusa.
Afu nae mbona anavaa chupi za bei rahisi hivyo?
Kumbe unanifuatilia Eeeh! safi sana usiache Jomba,Unapenda Sana kucomment kuwa mleta uzi au comment flani ni "Chai" hivi mtu adanganye humu ili imsaidie nini? Kwanza hata hatujuani na % kubwa watu huleta habari za kweli kwa 99% kwa kuwa wanatumia fake ID. Itakuwa una tabia za uongo uongo unahisi na wenzio wapo hivyo hivyo
Ni mweupe hivi halafu mrefu..Wakuu,sijui nifanyaje kumuambia huyu jirani yangu wa kike aache kuanika nguo zake za ndani karibu na dirisha langu.
Imekuwa ni mazoea sasa,kila weekend kurundikiwa machupi kwenye kamba.
Wale mtakaotaka picha ya hizo chupi ,nimeiambatanisha hapo chini.
Asanten
Nina ID nyingine humu, karibu Kama Mara mbili umeniquote sijui huu ni mchai chai, Mara chai, Mara vitafunwa sijui nini....unaboaa.Kumbe unanifuatilia Eeeh! safi sana usiache Jomba,
Unasema 99% Habari za humu ni za kweli,je umethibitishaje hilo mpaka kupata hiyo 99% ?
Sasa huoni kua pengine mleta mada anaweza kua kwenye hiyo 1% iliyopungua hapo?
Mwisho tusipangiane vitu vyakucomment humu,halafu usichukulie too serious comments za hapa JF.
Anakupa taste, atlist ukiziona upweke unaondokaWakuu,sijui nifanyaje kumuambia huyu jirani yangu wa kike aache kuanika nguo zake za ndani karibu na dirisha langu.
Imekuwa ni mazoea sasa,kila weekend kurundikiwa machupi kwenye kamba.
Wale mtakaotaka picha ya hizo chupi ,nimeiambatanisha hapo chini.
Asanten
Tumia kitufe cha kuignore ila usinipangie cha kucomment,hilo haliwezekani,natumia uhuru wangu wa maoni.Nina ID nyingine humu, karibu Kama Mara mbili umeniquote sijui huu ni mchai chai, Mara chai, Mara vitafunwa sijui nini....unaboaa.
We jamaa bhana...sasa kama kamba ipo karibu na dirishani kwako ulitaka akaanikie juu ya Bati eboo...
Mi nafikiri cha msingi hapo ni wewe kushukuru sana maana vyupi vyenyewe vinavutia Yani ni visafi havina ukoko so unaeza piga navyo picha
Kamnunulie chupi za bei kali umpe zawadi na umwambie aachane na hayo masulupweteWakuu,sijui nifanyaje kumuambia huyu jirani yangu wa kike aache kuanika nguo zake za ndani karibu na dirisha langu.
Imekuwa ni mazoea sasa,kila weekend kurundikiwa machupi kwenye kamba.
Wale mtakaotaka picha ya hizo chupi ,nimeiambatanisha hapo chini.
Asanten
BikiniZa bei kubwa ni zipi mkuu?