Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,231
- 36,256
Ni wewe tu K unatamka maneno haya wengine siwasikii 🙄👍👍🤏
Ehehehehee hatufanani hulka Sirya....
Asante kunitambua.
Ni wewe tu K unatamka maneno haya wengine siwasikii 🙄👍👍🤏
Zigo analo la haja.
Huyo kwenye Profile Photo ni wewe?Sasa nawewe si uanike boxer zako karibu na dirisha lake
NdiyoHuyo kwenye Profile Photo ni wewe?
Hadi kuzifikie sio rahisi labda abomoe dirishaAnua pigia punyeto, jifutie kisha rudisha ulipozitoa.
Utakuja kunishukuru.
Naomba nikutongozeNdiyo
DohNaomba nikutongoze
Wakuu, sijui nifanyaje kumuambia huyu jirani yangu wa kike aache kuanika nguo zake za ndani karibu na dirisha langu.
Imekuwa ni mazoea sasa, kila weekend kurundikiwa machupi kwenye kamba. Wale mtakaotaka picha ya hizo chupi, nimeiambatanisha hapo chini.
Asanten
Nimeshakupenda mwenzio.