Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 693
Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.
Huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza mke wangu.
Japo mke wangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza mke wangu na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
Huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza mke wangu.
Japo mke wangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza mke wangu na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.