Jirani Mganga

Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.

Hivi unapewaje nyama ya kuku?
 
Now nimesepa zangu nimemuacha dogo pale aendelee kuliwa kiboga taratibu na majini ya yule mzee nasikia anafuga majini.

wewe ulichoka kuliwa au sio umeona umuachie doGo shift... Haki nimecheka peke angu
 
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.
Hao kuku unao kula wakafara
 
We jamaa hem niache bwana


Sawa, ila wenzako wanaanzaga hivyo hivyo...mara leo kipande cha nyama ya mtu na mchuzi wake, kesho pumbu za jirani yako mwingine, kisha mwishowe unawehuka bila kujijuwa. Shauri yako, vya bure vina hasara yake na anayekutafuta anakuanzia mbali tena kwa ukarimu wa kupitiliza.
 
Sawa, ila wenzako wanaanzaga hivyo hivyo...mara leo kipande cha nyama ya mtu na mchuzi wake, kesho pumbu za jirani yako mwingine, kisha mwishowe unawehuka bila kujijuwa. Shauri yako, vya bure vina hasara yake na anayekutafuta anakuanzia mbali tena kwa ukarimu wa kupitiliza.
Mmh sawa ngoja nianze ukauzu
 
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.
Itakua mganga ndo kamtuma akuletee nyama, ana lengo lake nyuma ya pazia. Utajikuta siku umeamka upo kitandani kwa mganga
 
Back
Top Bottom