Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Habari za asubuhi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.
Niende moja kwa moja kwenye mada, dada yenu siku za karibuni nimehamia mtaa wa saba sasa hii nyumba ina pande mbili...upande wa mbele wanakaa wawili na upande wa nyuma tunakaa wawili.
Sasa huyu jirani yangu tunayekaa nae upande wa nyuma majirani wengine wanadai ni mganga wa kienyeji, mkaka yupo nadhifu tu sasa kinachoniogopesha huyu mkewe ni mkarimu sana, huwa ananipa sana chakula na juzi kanipa nyama ya kuku nikasema isijekuwa ndio zile wateja wanaleta haha... Kiukweli mimi najipa moyo kuwa ndio wale wa tiba mbadala, najishawishi kuwa huko ndani hakuweza kuwa na tunguli au nyie wadau mnaonaje.