Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,428
- 4,219
hapo hakuna fasi niwe jirani yako wajameni
Ha ha ha natolewa ili uanze tunguli enhee
Haha hebu niache bw mdogoHa ha ha natolewa ili uanze tunguli enhee
naruhusiwa inbox tuyajadiri?
Mungu atakuwa ameniona
Hata nikiwa kidumu poa tu .waganga siku hizi si unajua zao? Nasubiri ruhusa
Hahaha kwani we me au ke?Hata nikiwa kidumu poa tu .waganga siku hizi si unajua zao? Nasubiri ruhusa
Me ndo maana nimejivika mabomu .kama we me sema nitoke nduki
conclude bhana
Sasa me ndio Unataka kuwa kidumu cha mgangaMe ndo maana nimejivika mabomu .kama we me sema nitoke nduki
Ndo keshakula kuku hivyoo bora aendelee. Kuna binti alileta kwao mganga kijana mtanashati eti msukuma akamtibu na kumtaka juu binti kukataa akarushiwa majini.Binafsi nakushauri usile, just don't eat. Binadamu wa siku hizi tumekuwa wanyama, hata kama sio mganga/mlozi/mchawi. Anaweza kukufanya kitu kibaya. Sema asante nashukuru, nimeshakula...
nakula tu dada yangu, nilishaacha kuogopa tena mkewe ndio rafiki yangu hum ndani ana roho nzuri mpaka basiNdo keshakula kuku hivyoo bora aendelee. Kuna binti alileta kwao mganga kijana mtanashati eti msukuma akamtibu na kumtaka juu binti kukataa akarushiwa majini.