Jirani anamaliza kuku wa watu

Hivi hao waume za watu hawajuagi kusema 'hapana'?

Jibu: Kikawaida mwanaume ndiyo hutongoza, hufukuzia, n.k. Na kwa asili ni vigumu sana kwa mwanaume kukataa ngono endapo mwanamke ataridhia. Hivyo, fursa ya mwanamke kufanikisha ama kutofanikisha uzinzi ni kubwa sana. Kwa minajili hiyo, mwanamke akisema 'hapana' basi huo uzinzi hautatokea. Na kwenye hii mada ni mwanaume ndiyo aliyemfukuzia hadi kumpata huyo mke wa mtu. Kwa hiyo huo ndiyo msingi wa mimi kuuliza hilo swali.

umejibu vyema ila katika mtazamo mmoja tu.
hivi unaweza kula kama hutaki kula hata kama nimekupikia chakula kitamu vipi?
 
Waweza ndiyo.

basi uko tofauti sana na mie manake kama sitaki kula hata uje na biriani la mbuzi siwez kula. kadhalika mwanaume kama hatak kutongoza zinaa haitokuwepo. Sijui kwanini kwa wanaume inahalalishwa halafu kwa wanawake inapigwa marufuku.
 
basi uko tofauti sana na mie manake kama sitaki kula hata uje na biriani la mbuzi siwez kula. kadhalika mwanaume kama hatak kutongoza zinaa haitokuwepo. Sijui kwanini kwa wanaume inahalalishwa halafu kwa wanawake inapigwa marufuku.

Wewe unazungumzia vitu viwili tofa na uti - uamuzi na uwezo/uwezekano.

Kuweza kula hata kama hutaki unaweza kufanya hivyo. Kuamua kula ama kutokula ni jambo jingine.

Na uzinzi si halali kwa wanaume halafu iwe marufuku kwa wanawake.

Kama mtu umefungamana na mtu na mmekubaliana kuwa mahusiano yenu yawe ni ya nyinyi wawili basi si sawa kutoka nje. Haki ni haki tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom