Amoxlin
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,784
- 4,097
Habari ndugu zangu.
PSSSF kupitia Ofisi za Moshi - Kilimanjaro ina Wanachama wengi wenye vilio vya kuhujumiwa mafao yao (kutolipwa kwa wakati bila sababu).
Yapo mafao mengi likiwemo fao la kutokuwa na ajira ambalo mnufaika anapaswa kunufaika nalo kupitia taratibu zilizowekwa kisheria.
PSSSF - Kilimanjaro inachukua mpaka zaidi ya miezi tisa (9) au mwaka baada ya Mwanachama kumaliza mkataba wake, kujaza fomu husika pamoja na viambatanisho vyake vyote kwa usahihi na kuvikabidhi ofisini.
-Je, kuna mchezo mchafu unaendelea kwenye fedha za wanachama?
-Je, kuna Maofisa wanajinufaisha kwa kuziweka fedha za wanachama kwenye mzunguko kabla ya kuwalipa?
PSSSF - Kilimanjaro imuulikwe kwa macho makali dhidi ya jambo hili ukilinganisha na Mikoa mingine ambayo hulipa kwa wakati wateja wa kada moja wenye mkataba uleule unaohujumiwa na Ofisi za Kilimanjaro.
Je, ni ngazi gani ya juu vilio hivi vinaweza kufikishwa na kufanyiwa kazi ikiwa Ofisi nzima inaungana katika hujuma?
Msaada na ushauri wenu tafadhali.
PSSSF kupitia Ofisi za Moshi - Kilimanjaro ina Wanachama wengi wenye vilio vya kuhujumiwa mafao yao (kutolipwa kwa wakati bila sababu).
Yapo mafao mengi likiwemo fao la kutokuwa na ajira ambalo mnufaika anapaswa kunufaika nalo kupitia taratibu zilizowekwa kisheria.
PSSSF - Kilimanjaro inachukua mpaka zaidi ya miezi tisa (9) au mwaka baada ya Mwanachama kumaliza mkataba wake, kujaza fomu husika pamoja na viambatanisho vyake vyote kwa usahihi na kuvikabidhi ofisini.
-Je, kuna mchezo mchafu unaendelea kwenye fedha za wanachama?
-Je, kuna Maofisa wanajinufaisha kwa kuziweka fedha za wanachama kwenye mzunguko kabla ya kuwalipa?
PSSSF - Kilimanjaro imuulikwe kwa macho makali dhidi ya jambo hili ukilinganisha na Mikoa mingine ambayo hulipa kwa wakati wateja wa kada moja wenye mkataba uleule unaohujumiwa na Ofisi za Kilimanjaro.
Je, ni ngazi gani ya juu vilio hivi vinaweza kufikishwa na kufanyiwa kazi ikiwa Ofisi nzima inaungana katika hujuma?
Msaada na ushauri wenu tafadhali.