Saatatu
Member
- May 31, 2013
- 83
- 28
Ktk halCHA KUSHANGAZA Kwa miaka mingi sasa almost MUONGO MMOJA yaani a DECADE kijiji cha Isanga huko ktk wilaya ya Meatu kunajipu sugu hajaisikia kiki na sindanano ya KUTUMBULIA.
√Maji ya Kisima kirefu WINDMILL imekufa bila juhudi za kufufua
√Miundo mbinu ya shule
√Hakuna Barbara za kuunganisha ktkt kijiji hicho
√Zahanati haijakamilika
VEO, WEO, DIWANI WAMESHINDWA???.
Naomba kutoa hoja.
√Maji ya Kisima kirefu WINDMILL imekufa bila juhudi za kufufua
√Miundo mbinu ya shule
√Hakuna Barbara za kuunganisha ktkt kijiji hicho
√Zahanati haijakamilika
VEO, WEO, DIWANI WAMESHINDWA???.
Naomba kutoa hoja.