Mzee Mwafrika
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 203
- 99
msaada pliiizi!
msaada pliiizi!
Kwa kizungu rahisi ni BOIL..
Umenikumbusha miaka yangu ya mwanzoni nilipoingia ulaya, nilipataga bonge la jipu- mwanzoni nililipuuzia mara likapasuka na usaha wenyewe ulikuwa na rangi kama ya hazurungi- sasa mgogoro ulikuwa ni namna ya kumulezea DR -JIPU, USAHA, HAZURUNGI.....ilikuwa kazi kwelikweli.
Boil si ni MCHEMSHO kaka...au hiki ni kiinglishi cha heshima ya bar....
Kupunguza ugumu wa shughuli ukiingia kwa DR, baada ya salamu tu, unaanza kuvua nguo!!!!!Hahaha ulitamani uende mwananyamala hospital, pole mkuu nadhani ulaya ilikuwa inatoa vumbi vumbi na mabaki ya jasho ya Dar.
Kupunguza ugumu wa shughuli ukiingia kwa DR, baada ya salamu tu, unaanza kuvua nguo!!!!!
Hapana,hajakosea mkuu,jipu kwa kiingereza rahisi ni Boil....'Boil:-A painful infected swelling under the skin which is full of the thick yellow liquid called Pus (Pus=Usaha)
ABSCESS ndo jibu sahihi. Tumor ni result ya uncoordinated cell growth mf cancer!