Pedra buyer
Member
- Apr 26, 2015
- 97
- 31
Jipe thamani mwenyewe, jiheshimu mwenyewe, jijali mwenyewe. Alafu uone huyo unaemfikiria kama hatofanya unavyofanya atakuwa anamapungufu hakufai achana nae.
STORY FUPI.
Kuna Dada mmoja nafahamiana nae anafanya kazi Restaurant moja hivi huwa napenda kwenda kushtaftai sometime kanizoe sana as a friend, ni mzuri sana ila kuna sehem ya mwili wake kwa yeye anaona kama imekosewa kutengenezwa na muumba hadi kusababisha wanaume kumshusha thamani na yeye kwakuwa kajiona hivyo kajishusha thamani. Basi wajanja wakawa wanamega kiurahisi na kumuacha, Siku moja kaniambia kaka Bedra buyer kwanini mimi sikuumbwa kama flani sipendi kuwa hivi na kuzarauliwa huku machozi yakimtoka, nilimpa moyo kwa ushsuri. Si vibaya na wewe ukampa
Ushauri
Ahsante
STORY FUPI.
Kuna Dada mmoja nafahamiana nae anafanya kazi Restaurant moja hivi huwa napenda kwenda kushtaftai sometime kanizoe sana as a friend, ni mzuri sana ila kuna sehem ya mwili wake kwa yeye anaona kama imekosewa kutengenezwa na muumba hadi kusababisha wanaume kumshusha thamani na yeye kwakuwa kajiona hivyo kajishusha thamani. Basi wajanja wakawa wanamega kiurahisi na kumuacha, Siku moja kaniambia kaka Bedra buyer kwanini mimi sikuumbwa kama flani sipendi kuwa hivi na kuzarauliwa huku machozi yakimtoka, nilimpa moyo kwa ushsuri. Si vibaya na wewe ukampa
Ushauri
Ahsante