holypotato
Senior Member
- Sep 20, 2010
- 192
- 219
mkuu hapa umeprove hoja ya ubabaishaji.... Huna hata mfano wa say house yenye matumizi ya wats x itakuwa kwenye range of y to z shs???? Seems u have no ideal of what u are marketing....!!!
Mkuu jukwaa la watu wengi, kuna mpaka competitors humu, kila mtu anaoperate biashara yake in certain procedures, its a free country after all! Nikukuwekea bei wewe, kila mtu ataka bei ya kitu chake hapa, wengine watakosoa pricing etc mimi lengo la kupost nikuwapa watu habari juu ya hii huduma na inapopatikana. Ataependa atatutafuta for serious business, asiependezwa basi atusamehe kwa usumbufu wa kusoma hapa! Nasisitiza its a free country wadau do what you want. Na namalizia kwa kutoa shukrani zangu za dhatiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kwa wale wote mliopiga simu na kuulizia zaidi, kuweka oda, na kutualika maeneo mliko tuwaletee biashara. Huo ndio usomi wa JF.