Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,939
Naam!
Kuna wakati ulishafikia hatua ukaona laptop yako ni nzito? Sio Ram tu inaweza pelekea laptop yako kuwa faster! Hata Hard disk (HDD) inapelekea laptop yako kuwa nzito pia, Kuna hii kitu inaitwa SATA SSD, haijalishi ya ukubwa gani lakini ukifunga kwenye laptop yako huwezi jutia kwa speed utakayoipata katika laptop yako.
Ni nzuri sana kwa utendaji kazi, inafanya machine yako iwe nyepesi kuzima, kuwasha na kufanya kazi mbalimbali! Haijivuti .
Wengine watakuambia SSD haziko hivo ila sio kweli kuna aina 2 za SSD, Kuna hii SATA SSD muundo wake kama Hard disk tu ya kawaida kwa nje lakini ndani ni tofauti na hii itakufanya ufuraie utendaji kazi wa laptop yako.
Ni Tsh 150,000/=
#+255 622 901 670
Karibuni sana
Kuna wakati ulishafikia hatua ukaona laptop yako ni nzito? Sio Ram tu inaweza pelekea laptop yako kuwa faster! Hata Hard disk (HDD) inapelekea laptop yako kuwa nzito pia, Kuna hii kitu inaitwa SATA SSD, haijalishi ya ukubwa gani lakini ukifunga kwenye laptop yako huwezi jutia kwa speed utakayoipata katika laptop yako.
Ni nzuri sana kwa utendaji kazi, inafanya machine yako iwe nyepesi kuzima, kuwasha na kufanya kazi mbalimbali! Haijivuti .
Wengine watakuambia SSD haziko hivo ila sio kweli kuna aina 2 za SSD, Kuna hii SATA SSD muundo wake kama Hard disk tu ya kawaida kwa nje lakini ndani ni tofauti na hii itakufanya ufuraie utendaji kazi wa laptop yako.
Ni Tsh 150,000/=
#+255 622 901 670
Karibuni sana