Jipatie Nakala yako: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania by Nyerere

Naendelea kukipitia lakini nimeipenda pale waroho wa madaraka walipokuwa wanang'ang'ani kundelea kuwepo;

" Plato, Myunani wa kale, alipendekeza kuwa mafilosofa ndio wanaofaa kuwa watawala wa nchi, maana wana sifa mbili muhimu: kwanza, Wana uwezo wa kutawala, na pili, hawapendi kutawaIa. Kwa hiyo, Jamhuri ya Plato itakuwa na sheria ya kuwalazimisha mafilosofa kutawala kwa zamu; na mtu zamu yake ya kutawala ikisha, atafurahi sana kurudia shughuli zake za falsafa ambazo ndizo hasa anazozipenda.

Lakini nchi zetu hazitawaliwi na mafilosofa wa Plato; watawala wetu ni wanasiasa wa kawaida ambao wanapenda sana kutawala hata kama hawana uwezo wa kutawala; na ambao wako tayari hata kuhonga ili wachaguliwe kuwa watawala, na wakisha kuchaguliwa hawatoki bila kulazimishwa. Si busara kuwaachia wao wenyewe ndio wawe waamuzi wa lini waache kuwa watawala."
 
Kitu kingine ukiangalia katika waliowahi kuwa viongozi wa juu aliyebaki wa muda mrefua aliyeshika wadhifa mzito ni Mzee Mwinyi,laini katika kitabu hiki anaonekana kuwa hakuwa na msimamo katika maamuzi mengi. Je huyu ni wa kumtegemea kwa patashika yoyote ya kiuongozi wa nchi? I doubt
 
Viongozi hawa hawapewi nafasi na wananchi, wanahakikisha wanajipa hizo nafasi kwa kutumia njia zozote zile. Ndio maana Mwalimu kwa wakati fulani aliwaita wahuni hawa kwani hata pale wananchi watakapowakataa, watatafuta jinsi ya kujihalilishia nafasi zao. Wapo watakaofanya juu chini kujaribu kufuta historia hata ikibidi kukana kauli zao wenyewe au kung'ang'ania uongozi hadi kufa. Ndio mkuu FMes, likizo imeisha na sasa Mag3 nimerudi tumkone nyani kisawasawa bila kumtazama uso, a luta continua.

- Mkuu it takes mhuni kujua mhuni mwenziwe, Tanzania sasa tuna Demokrasia ambayo hairuhusu mtu mmoja kuwa Rais miaka 25 bila kupingwa hizo zilikuwa enzi za stone age na waliotutawala kwa miaka yote hiyo na kutuacha kwenye huu umasikini wa ajabu hawana haki ya kuandika historia, wewe umekaa kwenye Urais miaka 25 bila uchaguzi huru halafu eti una ubavu wa kushambuliwa wengine wanaochagulwia kwa Demokrasia, sawa mlitutawala kwa muda mrefu sana sasa imekwisha sio unaona mnavyohaha maana mlizoea,

- Haya ya uhuni usinilazimishe hiyo njia maana mtalia wengi sana humu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru, historia haindikwi na madikteta wanaochaguliwa kwa picha zao na kivuli, ndio maana kila wakati walikuwa wanataka kupinduliwa maana watu walikuwa hawawataki lakini walitumia mabavu na kuwasweka Detention, kule Mafia, angalau wanaotukwanwa na hao madikteta hawakuwahi kutaka kupinduliwa wala kutaka kuuliwa Bwa! ha! ha! au mkuu unasema historia inasema wanaoitwa wahuni ndio walitaka kupindua na kumuuua dikteta? Bwa! ha! ha!

- Bring it on mkuu tumkome nyani sasa, nchi mmeharibu wenyewe mnataka kusingizia wengine, waliokuwa hawatakiwi na wananchi ni nani hasa mkuu? Jumbe na Seif Hamadi, Seif Bakari, Bibi Titi, Anangisye, Ngaiza, Lugangira, Chipakas, Magee walikuwa hawamtaki nani hawa wananchi mkuu sema ukweli, hii ndio historia mkuu sio hizo za historia za kubangaiza, wanajeshi walipoasi 1964 walikuwa hawamtaki nani bro? hizi ndio historia na tarehe zipo na waliohusika wapo, ubabaishaji mliouanzisha wenyewe ndio sasa unalitafuna hili taifa, mmeharibu halafu mkakimbia na kuanza kubweka bweka pembeni kama mbwa koko, na fisi wanaponyemela mifupa,

- Mkuu historia iko wazi wananchi kama kina Memba walikuwa hawamtaki nani hasa mkuu? Bwa! ha! ha! hili taifa tumelogwa sasa mmekosa utawala ambao mliuozea imekwua nongwa, hapana kutesa kwa zamu, historia iko wazi waliojkwua hawatakiiwi na wananchi ni kina nani, sasa bring it on ila msilie maana itakwua aibu sana hapa, Bwa! ha! ha! ha! Wewe mtu umetawala miaka 25 bila kuchagulwia na Demokrasia mabavu mabavu tu, leo eti una nguvu ya kudai wengine hawatakiwi, wakati ni wewe kila siku ulikuwa unataka kupinduliwa na kuuliwa, tena walitaka kukuua kwenye sanamu pale mjini Bwa! ha! ha! hao mnaowaita wahuni ni wapi walataka kupinduliwa au kuuliwa?? Leo ni wapi umeona wananchi wanavaa magunia? hivi wananchi walipokuwa wanavaa magunia kule Songea mpaka Salim kuwapa mitumba nani alikuwa mtawala

Haya mkuu tumkome nyani sasa hii imekaa vizuri sana! zile enzi za kakuku ketu haka ziliisha mkuu sasa tuko huru weka vitu upewe vitu hapa, Bwa! ha! ha! haendi mtu rumande wala dentention tuko huru tena freeeee!

Later mkuu ila tupo pamoja sana!

FMEs!
 
I will always respect Mwalimu because he always stood for something whether right or wrong, he did it with a clear vision of helping Tanzania and nothing else.

In this saga, Mwinyi was a disaster who was brainless and stood for nothing. He was pushed in all directions and could not discern what was what.

The former PM though he is bright and ambitious, wanted the presidency so bad that he almost broke the country by trying to win votes for his candidacy at all costs.

Mwalimu saved the country and helped Mwinyi by swimming with the sharks who were clearly above Mwinyi's head.

RIP JKN.
 
Jamani,

Mimi ninacho kitabu cha Mwalimu cha "Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania" na cha Kiingereza chake: "Our Leadership and the Destiny of Tanzania".
Wakati fulani nilitoa nukuu ya kitabu hicho humu kwenye "Forum", pale alipomsema Samuel Sitta, wakati huo Waziri wa Sheria na Katiba, alipotaka kuitumbukiza Tanzania katika janga la kuvunja Muungano na kuleta Serikali tatu, kinyume cha Sera za nchi na Mwalimu akawa mkali sana na kumuona Sitta kuwa ni msaliti wa wapiga kura wake wa Urambo na chama chake cha CCM. Katika sakata hilo, linalothibitisha usaliti wa Sitta, Waziri Mkuu John Malecela akajiuzulu, lakini kiajabu Sitta aka-save kimiujiza!
Haishangazi sasa Sitta huyu, akiwa Spika, anakisaliti tena chama chake cha CCM na kuendeleza mapambano ya kibinafsi na kuifanya Serikali, kwa miaka mitatu sasa ishindwe kutekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi, akijidai yeye kuwa ni mpambanaji wa ufisadi, kumbe ni mpambanaji wa kuenedeleza chuki na fitina za kisiasa. Kasababisha kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Edward Lowassa na anaelekea hata kuidhoofisha Serikali ya Rais Kikwete. Sitta anasaidiwa na kupewa nguvu na Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi! Msaliti haachi tu! Wakati wa Serikali ya Awamu ya Tatu ya Rais Mkapa, Sitta akatupwa, hakuwemo katika Serikali na ndiyo maana akapewa kuwa Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji, TIC tu.
Kitabu cha Mwalimu kinathibitisha, pasi na shaka yoyote, viongozi wasaliti, akiwemo Sitta. Inadaiwa kuwa eti Lowassa alisemwa na Mwalimu, lakini ni uzushi tu na hata katika kitabu hicho hayumo. Hakuna mahali popote, Mwalimu amemsema Lowassa, siyo katika NEC ya CCM wala katika Vitabu vyake, kama hiki, wala popote pale! Waliosemwa na Mwalimu wanajulikana na aliwaweka wazi, akiwemo Sitta!
Anayetkitaka kitabu hiki aende Taasisi ya Mwalimu Nyerere, ikiwezekana angalau atoe "photocopy"!
Bwassa
 
Kweli JF ni suluhisho la kila kitu! Mbarikiwe sana wachangiaji wote including Mwanakijiji, Pasco, Bubu Anataka Kusema, Mlenge, nk, kwa michango yenu ya mara kwa mara yenye kujenga na vile vile kwa documents ambazo mnatuletea hapa na tunapata nakala!
 
Natamani leo tu watu wapatao 500 wa download.. naona watu wamekuwa slow mno.. inawezekana watu wanaogopa kuguswa fikra zao kwa sababu tayari minds zao ziko closed juu ya Mwalimu..

as a avid student of Mwalimu.. I highly recommend and urge everyone to get your copy kwa sababu hakitakaa hapa daima..
 
- Mkuu it takes mhuni kujua mhuni mwenziwe, Tanzania sasa tuna Demokrasia ambayo hairuhusu mtu mmoja kuwa Rais miaka 25 bila kupingwa hizo zilikuwa enzi za stone age na waliotutawala kwa miaka yote hiyo na kutuacha kwenye huu umasikini wa ajabu hawana haki ya kuandika historia, wewe umekaa kwenye Urais miaka 25 bila uchaguzi huru halafu eti una ubavu wa kushambuliwa wengine wanaochagulwia kwa Demokrasia, sawa mlitutawala kwa muda mrefu sana sasa imekwisha sio unaona mnavyohaha maana mlizoea,

- Haya ya uhuni usinilazimishe hiyo njia maana mtalia wengi sana humu, historia inaandikwa sasa tukiwa huru, historia haindikwi na madikteta wanaochaguliwa kwa picha zao na kivuli, ndio maana kila wakati walikuwa wanataka kupinduliwa maana watu walikuwa hawawataki lakini walitumia mabavu na kuwasweka Detention, kule Mafia, angalau wanaotukwanwa na hao madikteta hawakuwahi kutaka kupinduliwa wala kutaka kuuliwa Bwa! ha! ha! au mkuu unasema historia inasema wanaoitwa wahuni ndio walitaka kupindua na kumuuua dikteta? Bwa! ha! ha!

- Bring it on mkuu tumkome nyani sasa, nchi mmeharibu wenyewe mnataka kusingizia wengine, waliokuwa hawatakiwi na wananchi ni nani hasa mkuu? Jumbe na Seif Hamadi, Seif Bakari, Bibi Titi, Anangisye, Ngaiza, Lugangira, Chipakas, Magee walikuwa hawamtaki nani hawa wananchi mkuu sema ukweli, hii ndio historia mkuu sio hizo za historia za kubangaiza, wanajeshi walipoasi 1964 walikuwa hawamtaki nai bro? hizi ndio historia na tarehe zipo na waliohusika wapo, ubabaishaji mliouanzisha wenyewe ndio sasa unalitafuna hili taifa, mmeharibu halafu mkakimbia na kuanza kubweka bweka pembeni kama mbwa koko, na fisi wanaponyemela mifupa,

- Mkuu historia iko wazi wananchi kama kina Memba walikuwa hawamtaki nani hasa mkuu? Bwa! ha! ha! hili taifa tumelogwa sasa mmekosa utawala ambao mliuozea imekwua nongwa, hapana kutesa kwa zamu, historia iko wazi waliojkwua hawatakiiwi na wananchi ni kina nani, sasa bring it on ila msilie maana itakwua aibu sana hapa, Bwa! ha! ha! ha!
Wewe mtu umetawala miaka 25 bila kuchagulwia na Demokrasia mabavu mabavu tu, leo eti una nguvu ya kudai wengine hawatakiwi, wakati ni wewe kila siku ulikuwa unataka kupinduliwa na kuuliwa, tena walitaka kukuua kwenye sanamu pale mjini Bwa! ha! ha! hao mnaowaita wahuni ni wapi walataka kupinduliwa au kuuliwa?? Leo ni wapi umeona wananchi wanavaa magunia? hivi wananchi walipokuwa wanavaa magunia kule Songea mpaka Salim kuwapa mitumba nani alikuwa mtawala

Haya mkuu tumkome nyani sasa hii imekaa vizuri sana!
zile enzi za kakuku ketu haka ziliisha mkuu sasa tuko huru weka vitu upewe vitu hapa, Bwa! ha! ha! haendi mtu rumande wala dentention tuko huru tena freeeee!

Later mkuu ila tupo pamoja sana!

FMEs!
Wengi wetu hatuketegemea kama Mzee FMES ata-support hii hoja, baadhi ya wanaozungumziwa kwenye hiki kitabu ni wanasiasa wake wa mfano! Pamoja na hayo wote hawa walikuwa wanafunzi, na hadi leo; wale walio hai bado ni wafuasi wakubwa wa sera za Mwalimu.
 
Mie hicho kitabu nilikisoma baada ya kutoka tu wakati ule Vurugu za kuwania urais 1995 zilianza kupamba moto!Ukikisoma kwa makini kitabu hicho utagundua pamoja na mambo meng yameaelezwa na mwalimu kuhusiana na mustakabal wa nchi yetu!lakini kikubwa ilikuwa kumponda samuel malecela !Kwa wale waliyekuwa karibu na mwalimu wakati ule wanasema mwalimu aliapa ya kuwa atahakikisha Malecela hachukui dola!Wakati Malecela alishapata baraka za Mzee Mwinyi!
 
I will always respect Mwalimu because he always stood for something whether right or wrong, he did it with a clear vision of helping Tanzania and nothing else.

In this saga, Mwinyi was a disaster who was brainless and stood for nothing. He was pushed in all directions and could not discern what was what.

The former PM though he is bright and ambitious, wanted the presidency so bad that he almost broke the country by trying to win votes for his candidacy at all costs.

Mwalimu saved the country and helped Mwinyi by swimming with the sharks who were clearly above Mwinyi's head.

RIP JKN.

- Moelex with all due respect ni wapi katiba yetu inasema kuwa na ambitions za siasa ni kuvunja sheria? Mwalimu aliacha uwaziri mkuu ili kutafuta urais je alivunja sheria? The question ni nini nia na madhumuni ya hiki kitabu, ilikuwa taifa au kumpa urais Mkapa? Kama ilikuwa taifa then kwa nini tupo hapa tulipo kwangu ndio maswali ya msingi!

- Ambitions za anybody sio kuvunja sheria, isipokuwa kujenga tabia za majungu na fitina katika utawala ndio tatizo ambalo tunalo mpaka leo!

FMEs!
 
Wengi wetu hatuketegemea kama Mzee FMES ata-support hii hoja, baadhi ya wanaozungumziwa kwenye hiki kitabu ni wanasiasa wake wa mfano! Pamoja na hayo wote hawa walikuwa wanafunzi, na hadi leo; wale walio hai bado ni wafuasi wakubwa wa sera za Mwalimu.

- Ndio demokrasia, sina tatizo na Mwalimu he was the greatest, lakini mapungufu yake tunayalipia mpaka leo, kitabu sina ttaizo nacho isipokuwa ninafahamu nia na madhumuni yake ndio maana sikipi umuhimu sana kwa sababu in the end hakina solution ya matatizo yetu, Mkapa was never the solution infact huyu Mkapa ambaye alikwua anapaliliwa njia na hiki kitabu ndio ameliua kabisa hili taifa kwa kutuachia viongozi hawa tulionao, lakini ni maoni yangu na ni haki yangu kuwa nayo kisheria kama na wewe ulivyo na yako,

- Siku zote hoja zangu zinapowaudhi huwa zinakuwa ni kwa sababu marafiki zangu, mara baba yangu, mara ninafaidika na ufisadi, sijawahi kuwa na mawazo yangu huru hata siku moja ila nyinyi tu ndio mna mawazo huru, tutaendelea tu kuweka the otherside of the coin na kuwaachia wananchi waamue pumba na mchele ulipo!

Respect.

FMEs!
 
Mie hicho kitabu nilikisoma baada ya kutoka tu wakati ule Vurugu za kuwania urais 1995 zilianza kupamba moto!Ukikisoma kwa makini kitabu hicho utagundua pamoja na mambo meng yameaelezwa na mwalimu kuhusiana na mustakabal wa nchi yetu!lakini kikubwa ilikuwa kumponda samuel malecela !Kwa wale waliyekuwa karibu na mwalimu wakati ule wanasema mwalimu aliapa ya kuwa atahakikisha Malecela hachukui dola!Wakati Malecela alishapata baraka za Mzee Mwinyi![/QUOTE]

- Mkuu haya maneno Mwalimua aliwambia wazi Malecela in his face kule Chamwino kwamba ondoka ili Ben aingie, nikifika Dar uwe umeshaandika barua ya kuondoka, okay hizi zilikuwa ni personal beef ambazo taifa tuliingizwa bila kujua na ndio maana sasa hivi we are paying for it, na ndio uliokuwa mwanzo wa kuanzishwa kwa makundi ndani ya uongozi wetu wa taifa.

- Vitabu vyenye solution ya matatizo ya hili taifa bado kuandikwa, vitakapoandikwa utaona mabadiliko in wananchi, hivi vitabu ni yale yale good for entertainment, lakini nothing good on it kwa taifa! kama ni muungano ndio huo sasa hivi uko ICU!

FMEs!
 
"Ole wake Tanzania
Tusipoisaidia!
Niwezalo nimefanya:
Kushauri na kuonya.
Nimeonya: Tahadhari!
Nimetoa ushauri:
Nimeshatoka kitini;
Zaidi nifanye nini
Namlilia Jalia
Atumulikie njia;
Tanzania ailinde,
Waovu wasiivunde.
Nasitumsaidie
Yote tusiyamwachie!

Amina, tena Amina!
Amina tena na tena!"
*****************
Mwalimu, wenye akili timamu tunakukumbuka, tunakupenda, tunakukubali, ulitufundisha na tunashukuru n.k....
Wapinzani wapo tu, sisi wengine hatujali kuona kuna baadhi ya wajinga wakikutukana na kukupinga, haitushangazi ni hulka ya baadhi ya wanadamu kuwa hivyo maana hata Mungu muumba wanampinga itakuwa binadamu!!??


 
"Ole wake Tanzania
Tusipoisaidia!
Niwezalo nimefanya:
Kushauri na kuonya.
Nimeonya: Tahadhari!
Nimetoa ushauri:
Nimeshatoka kitini;
Zaidi nifanye nini
Namlilia Jalia
Atumulikie njia;
Tanzania ailinde,
Waovu wasiivunde.
Nasitumsaidie
Yote tusiyamwachie!
Amina, tena Amina!
Amina tena na tena!"
*****************
Mwalimu, wenye akili timamu tunakukumbuka, tunakupenda, tunakukubali, ulitufundisha na tunashukuru n.k....
Wapinzani wapo tu, sisi wengine hatujali kuona kuna baadhi ya wajinga wakikutukana na kukupinga, haitushangazi ni hulka ya baadhi ya wanadamu kuwa hivyo maana hata Mungu muumba wanampinga itakuwa binadamu!!??

- Kutofautina mawazo sio ujinga wala upumbavu kulazimishana kufufta upepo ndio hasa upumbavu na ujinga, Mwalimu wa great lakini hakuwa malaika that is all we are saying, acheni matusi tujadili hoja kama watu walioenda shule! na great thinkers! ndio maan sipendi kujadili hiki kitabu in details maana najua itakwua nini!

FMEs!
 
- Kutofautina mawazo sio ujinga wala upumbavu kulazimishana kufufta upepo ndio hasa upumbavu na ujinga, Mwalimu wa great lakini hakuwa malaika that is all we are saying, acheni matusi tujadili hoja kama watu walioenda shule! na great thinkers! ndio maan sipendi kujadili hiki kitabu in details maana najua itakwua nini!

FMEs!

Mbona unajikomfyuzisha mwenyewe? nani kasema mwalimu alikuwa malaika hapa!!? hata yeye mwenyewe alisema mara nyingi tu kuwa hakuwa malaika..........s
Kweli kutofautiana mawazo siyo ujinga, ila kusema mwalimu JK alikuwa silolote si chochote ni ujinga na upumbavu.....
 
- Haya mkuu ngaoja niwaachie huu mjadala maana naona inatakiwa uniform kihitaji the otherside nipo anytime, huu mjadala ni mzuri ila matusi sio sawa maan wengi tunamheshimu sana Mwalimu, naomba kujitoa sasa.

FMEs!
 
Back
Top Bottom