RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Mwanakijiji Thanks for the Document, FYDP.
Nimeuona kwa ufupi bado naendelea kuusoma, kwa jinsi nilivyouona ni mzuri sana nampa hongera Mh Rais kwa kuona hilo. Swali la msingi ni "wataweza kuutekeleza?" Maana system nyingi serikalini ziko very Corrupted kila mtu anachukua anavyoweza.
Watu wakuutekeleza naona kama ni wachache, inabidi serikali ifanye maamuzi magumu kuutekeleza kwani kwa watumishi hao hao nachelea kumwambia JK na serikali kuwa itakuwa ngumu.
Nimeuona kwa ufupi bado naendelea kuusoma, kwa jinsi nilivyouona ni mzuri sana nampa hongera Mh Rais kwa kuona hilo. Swali la msingi ni "wataweza kuutekeleza?" Maana system nyingi serikalini ziko very Corrupted kila mtu anachukua anavyoweza.
Watu wakuutekeleza naona kama ni wachache, inabidi serikali ifanye maamuzi magumu kuutekeleza kwani kwa watumishi hao hao nachelea kumwambia JK na serikali kuwa itakuwa ngumu.