Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Huu mtandao ni shida nimenunua laini juzi kwenye taarifa za usajili kunatokea jina langu kwenye TPesa linatokea jina la mtu mwengine.Nawaambia hawana jibu nazungushwa tu.Nasubiria wiki hii ikiisha tu sijapatiwa ufumbuzi jambo langu najitoa kutumia laini yenu narudi halo.
Njoo inbox mkuu