Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

NISSAN SAFARI namba A
BEI MIL 10.5
Call
0718295182*watsap*
0765505909
6132513e546f07a4cb56f6537e2553ae.jpg
060fe41f80ab8572ec1863e650c116a1.jpg
 
9ml

Mazungumzo yapo.

BANGO JEUPE nakuja inbox
Mmiliki kumdalalia dalali ni kuharibiana kazi
Nimekuletea mteja wa Mil 8 umegoma ukataka milioni 10 ila hapa kwa pembeni unaitangaza Mil 9 maongezi yapo
Mfumo unaoufanya sio salama kwa kazi yangu na unanipa picha mbaya kwa wateja zangu hasa hapa JF wanaona kama mimi nimeongeza bei ya gari kumbe wewe ndie unaleta hujuma
NAWAAMBIA WENGINE MUELEWE SIPOKEI GARI LA MLIKI ANAYENIDALALIA, SIWEZI SUMBUKA NA GARI LAKO SUMBUKA NALO MWENYEWE
 
Na wengine muelewe mfumo wa kazi yangu ya udalali unaponipa bei jua kua ndo hiyohiyo nitamleta mteja kwako muelewane wenyewe mimi utanilipa wewe baada ya mauzo na si mimi kujiongezea bei
Tutaelewana kulingana na Thamani ya gari na bei itakayokubalika na mnunuzi
Malipo ya dalali huwa kati ya Mil 2 hadi laki 2
 
Wabongo bwana...gari ya Mwaka 2003 leo tupo 2017 eti "New Model".. Umasikini kitu kibaya sanaa
Wewe ndio maskini, tena wa akili. Suala la model fulani ya kitu kuitwa "NEW" hufutwa na ujio wa model ingine na sio miaka.

Panda Happy Nation hapo Kintinku njoo Dar ushangae wabongo vizuri, maana Posta Mpya ina miaka zaidi ya 30 na hadi leo yale maandishi yapo pale, NEW POST OFFICE. Na kwa taarifa yako, kuna New Delhi, New York, New England na New Hampshire zote kitambo sana.

Wasalimie Dodoma
 
Grand mark II. Gx 110 ya 2011 engine number 1VA2010. Ipo Dodoma, imetembea km 100000. Number B ina hali nzuri sana, bei yake million 6 number ya kuwasiliana 0658-154647
 
Carina ti
c5d5381eed20635cd8fcb4942934201b.jpg

Gari iko vizuri sana
Bei Mil 6
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
 
fd4704e4e20f285ddb1313c0ed6cf2e6.jpg

Nissan patrol hiyo inauzwa wakuu
Mil 16 TZS
Maongezi yapo
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
 
Wakuu nina PICKUP INAUZWA
72634dcb05d0c6b50d4ad82844d741ad.jpg

ENGINE 3L
MANUFACTURE 1998
MIL Q3
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom