Jipatie external Hard Drive hizi kwa bei nafuu kabisa

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Naam wapendwa wana JF, kwa mara nyingine tena nawaletea portable external Hard Drive mpya na za kisasa kabisa zinazo-support both USB 2.0 and 3.0. Jichagulie external yoyote utakayoipenda kati ya hizi zifuatazo na mara baada ya kuchagua wasiliana na mimi mara moja ili tuweze kufanya biashara.

Western Digital My Passport - 1TB

506515.jpg


Specifications

  • Interface: USB 3.0 and USB 2.0
  • Transfer Rate:Serial Bus Transfer Rate (USB 3.0) 5Gb/s Max
  • Capacity: 1TB

PRICE - TZS.250,000

Western Digital My Passport - 750GB

736774.jpg


Specifications

  • Interface: USB 3.0 and USB 2.0
  • Transfer Rate: Serial Bus Transfer Rate (USB 3.0) 5Gb/s Max
  • Capacity: 750GB

PRICE - TZS.190,000


NB: Hard Drives zote hapo juu ni mpya kabisa, portable na zina waranty ya mwaka mmoja. Kwa wale ambao wako nje ya Arusha tunaweza kusafirishia bidhaa zao kwa njia ya EMS ambayo ni ya haraka, nafuu na salama kwa gharama ya TZS.15,000 tu.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia anwani zifuatazo:
Mobile: +255789 884 221
E-mail: meezy@youngmaster.co.tz
 
no disrespect or anything, ila hizo product zote zinapatikana madukani kwa 60K less to the prices you gave, meaning hio 750Gigs ipo 4 just 125-130K na 1tb 4 190K. Wat i'm saying ucangalie only your side jali na wateja ili upate even more people. Thank u

Aisee...kwa hiyo price uliyoweka yani ni bei ya kununulia tu. hupati fiada hata shilingi kumi. I think you should do the analysis before commenting usije ukapotosha jamii kwa information ambazo si za kweli...Labda hizo bidhaa ambazo umezitaja wewe sio Original Western Digital and maybe ni mchina.
 
Reasonable price for the good product. mimi nataka harddisk ya kuweka kwenye laptop nitapata kwa bei gani?
 
Reasonable price for the good product. mimi nataka harddisk ya kuweka kwenye laptop nitapata kwa bei gani?

Nashukuru kwa kuwa na interest ya kutaka kununua bidhaa kutoka kwetu...ila nasikitika kukutaarifu kuwa kwa sasa hatuna hard disk za kawaida tuna external hard drive tu. kama utahitaji external tafadhali usisite kuwasiliana nami kupitia anwani unazoziona hapo juu.
 
Reasonable price for the good product. mimi nataka harddisk ya kuweka kwenye laptop nitapata kwa bei gani?

Kama hutapata na upo dar utanijulisha nitakuletea, niambie size/GB na Aina ya hdd unayotumia/hitaji kama ni sata au IDA.
 
Back
Top Bottom