Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 400
- 693
- Thread starter
- #21
Shukran mkuu ngoja nianze nazo..
Ila ni zipi function zinatumika saana katika project kama hii ya kwako...
Yaani uwezo wa kuliko data ya sheet moja na sheet nyingine...
!?
Unaanza na sheet name kabla ya jina la cell, baada ya sheet name unaweka alama ya ! Mfano =A5+'setting'!B7
Njia rahisi ni ya kuselect sheet kwenye sheet tab (ukishaandika =A5+ unaselect sheet unayotaka then unaselect cell)
Pia unaweza ukalink data ambazo zipo kwenye workbook tofauti tofauti