400,000 inakuwa na spika tano
Shilling ngapi hii +2speaker ndef zake
220,000Mi nataka spice grinder kubwa,mnazo na bei yake je?
Hakuna tcl nch 21 Inaanzia nch 24 napia hakunaTcl TV mnayo na ni being gani?21"
Nyama inasaga?Ni brenda ndogo kwajili ya kusagia vitu vigumu
Price 95,000
Naomba nione picha yake na je ina uwezo wa kusaga kilo ngapi kwa saa?220,000
Hakuna shaka wateja wapo nashukuru mungu japo waoga kuamini juzi kuna nilimtumia arusha akanambia usichangie kwenye mambo yanayo husu serikali watakuteka ahahhahah
Nyama ni grinder mincer ndogo ni 175000Nyama inasaga?
Kiongozi naomba bei za mixer tafadhaliZipo kg 1.5 kg2 kg5 nakg10
Kampuni kenwood na rosell
Hujanijibu ,baada ya kukupa ufafanuziNyama ni grinder mincer ndogo ni 175000
Kubwa ni 350,000
Imebaki hiyo ndogoHujanijibu ,baada ya kukupa ufafanuzi
Ndogo haitakidhi mahitaji yangu,ahsanteImebaki hiyo ndogo
Itakidhi si mashine hiyo mkuuNdogo haitakidhi mahitaji yangu,ahsante
Ni ndogo,nahitaji ambayo ninaweza kuweka vitu vingi mfano kilo mbili hadi tano kwa walati mmojaItakidhi si mashine hiyo mkuu
Wazungu bana hadi machine ya kuoshea vyombo..!!?? Kuna haha ya kuoa kweli..??
Machine ya kuoshea vyombo
Price 850,000
Hata kama ukiowa kama unampenda mkeo lazima utamwandalia mazingira ya kumtunza asichokeWazungu bana hadi machine ya kuoshea vyombo..!!?? Kuna haha ya kuoa kweli..??